. ;II ~ ~ . ! ~ l Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola 4 ~n .~ SURA YA KWANZA SHERIA YA ARDHI 1 UTANGULIZI S ura hii itaiangalia ARDHI na umuhimu wake katika maisha ya binadamu. Ardhi ni rasilimali ya msingi katika uhai na maendeleo ya binadamu, wanyama, mimea na viumbe vyote. Nchi ya Tanzania ambayo uchumi wake unategemea kilimo kama sekta muhimu kukidhi mahitaji ya wananchi walio wengi, ardhi inakuwa rasilimali muhimu ambayo kila mwananchi hana budi kuipata na kuimiliki, kuitumia na kuitunza. Ardhi ni rasilimali inayohitajika ili kuendeleza sekta nyingine za uchumi, ikiwepo viwanda, biashara, pia makazi ya binadamu ambayo hutegemea ardhi kwa ujenzi wa nyumba, barabara na matumizi mengineyo. Hivyo basi, ardhi ni haki ya kila binadamu, na kumnyima mtu yeyote haki ya kuitunza, kuitumia na kuimiliki ni uvunjaji wa haki za binadamu. Kwa muda mrefu sasa mila na desturi nyingi katika nchi yetu zimekuwa zinamnyima mwanamke haki nyingi za msingi mojawapo ikiwa ni haki ya kumiliki ardhi, ikilinganishwa na ilivyo kwa mwanaume. Ni baada ya kugundua ukweli huo na kuona mchango wa mwanamke katika jamii mambo mengi yanarekebishwa ili kuondoa tofauti zilizopo kati ya jinsia ya kike na ile ya kiume hususani katika haki za msingi walizonazo. Ni dhahiri kwamba katika kuweka wazi matumizi ya ardhi na hasa ardhi ya vijijini ili kuondoa tofauti zilizopo baina ya jinsia hizi katika kumiliki ardhi kimila, Sheria ya Ardhi ya Vijiji ya mwaka 1999 ilitungwa. Kabla ya hapo hapakuwa na sheria ya Bunge ambayo ilikuwa inaweka wazi matumizi ya ardhi ya vijijini zaidi ya sheria za kimila. Hivyo basi ni matumaini yetu kuwa Sura hii itaielimisha jamii ili iweze kutumia na kufaidika na sheria hii, ili lengo na madhumuni ya Sheria hii yafikiwe. 2 Sura hii itakuwa na sehemu kuu Misingi Mikuu ya Sheria za mbili. Sehemu ya kwanza Ardhi itazungumzia Sheria ya Ardhi (Sheria namba 4 ya 1999) na Sheria ya Ardhi na Sheria ya Ardhi sehemu ya pili itazungumzia Vijijini zimeorodhesha misingi Sheria ya Ardhi Vijijini,(Sheria mikuu ya ardhi kama namba 5 ya 1999). ilivyobainishwa chini ya Sera ya Ardhi ya Taifa 1995. Baadhi ya Sura hii itamwezesha msomaji misingi hiyo ni:kuelewa na kupata majibu ya ∫ Ardhi ni mali ya umma na maswali kama vile: ardhi ni nini imekabidhiwa kwa Rais kama kisheria, misingi mikuu ya ardhi, mdhamini kwa niaba ya raia aina za umiliki wa ardhi, maana ya wote. rehani, taratibu zinazopaswa ∫ Raia wote wanawake na kufuatwa wakati wa kuweka rehani, wanaume wana haki sawa ya kukodisha au kupangisha ardhi, na kupata, kumiliki na kutumia utawala na usimamizi wa masuala ardhi. ya ardhi. ∫ Miliki za ardhi zilizopo ikiwa ni pamoja na za kimila Ardhi ni nini? zinatambuliwa na kulindwa kisheria. Sheria za ardhi zimetafsiri ardhi ∫ Kuhakikisha kwamba ardhi katika maana zifuatazo: inatumika kwa manufaa yanayozingatia maendeleo Ardhi ni pamoja na ardhi endelevu. inayoonekana, vitu vilivyoota juu ∫ Kuhakikisha kwamba fidia yake, nyumba, na majengo kamili na ya haki inalipwa kwa mengine ya kudumu pamoja na mmilikaji bila kuchelewa pale vitu vyote vilivyopo chini ya ardhi ardhi yake inapochukuliwa na isipokuwa madini na mafuta. serikali chini ya sheria mpya za ardhi, au chini ya sheria ya 3 uchukuaji ardhi, kwa manufaa ya umma. ∫ Kuweka mfumo bora wa utawala wa ardhi ambao unawawezesha wananchi wote kushiriki katika kufanya maamuzi yanayohusiana na masuala ya ardhi wanayokalia au kutumia. Sheria hizi za zimegawa ardhi makundi matatu. ardhi katika (c) Ardhi ya Hifadhi Hii ni ardhi ambayo imetengwa kwa madhumuni maalum nayo ni pamoja na: - Maeneo ya hifadhi ya misitu. - Mbuga za wanyama. - Hifadhi za maji(bahari, mito, mabwawa na maziwa). - Ardhi yenye majimaji. - Hifadhi ya barabara. - Maeneo ya wazi. - Maeneo yaliyotangazwa kuwa ni ardhi ya hatari. (a) Ardhi ya jumla Muhimu Ardhi hii ni ile ambayo si ya vijiji wala hifadhi. Ardhi hii ni Sheria hizi zimezingatia msingi wa miongoni mwa ardhi usawa na haki katika kumiliki ardhi. inayosimamiwa na Sheria ya Sheria zimeeleza bayana kuwa, Ardhi namba 4 ya 1999. haki ya kila mwanamke kupata, kumiliki, kutumia na kushughulikia (b) Ardhi ya Vijiji maswala yanayohusu ardhi, Ardhi hii imeelezwa kwa kina itakuwa sawa na kwa mashariti chini ya Sheria ya Ardhi Vijijini yale yale kama ilivyokuwa kwa (Sheria namba tano ya 1999) . mwanamume. Hii ni ardhi iliyo ndani ya mipaka ya vijiji ambayo Zingatia: Sheria imeondoa imesajiliwa kwa kufuata sheria ubaguzi wa wanawake. Hivyo zilizowekwa. mwanamke anayetaka ardhi, atafuata taratibu zote zinazohusika na hapaswi kunyimwa ardhi kwa 4 sababu tu ni mwanamke. Sheria ya Ardhi ya Mwaka 1999(namba 4, 1999) Sheria hii inahusu masuala yote ya usimamizi wa ardhi, utatuzi wa migogoro ya ardhi, pamoja na mambo yanayohusiana na ardhi kwa ujumla. Ni muhimu kuelewa kwamba, ardhi inayoongelewa katika sheria hii, haihusiani na ardhi ya pamoja vijijini na masuala yote yanayohusiana na Sheria ya Ardhi ya Vijijini,(Sheria Namba 5 ya 1999). kamati hizi yatatolewa kwenye gazeti la serikali na kupelekwa kwenye makao makuu ya wizara, mkoani, pamoja na ofisi za ardhi za wilaya. Waziri pia amepewa mamlaka ya kuunda BARAZA LA KITAIFA LA USHAURI LA ARDHI ambalo litakuwa na watu wasiopungua saba na si zaidi ya kumi na mmoja. Mwenyekiti wa baraza hilo atateuliwa na Rais. Waziri anatakiwa na sheria hii anapounda kamati hii kuhakikisha kuwa kuna uwiano sawa baina ya wanawake na wanaume. Usimamizi wa ardhi Nani anaweza kuomba haki ya Sheria hii imempa waziri kumiliki ardhi chini ya Sheria ya anayehusika na ardhi, uwezo wa Ardhi? kuunda“KAMATI ZA UGAWAJI ARDHI” katika ngazi za uongozi wa Chini ya Sheria ya Ardhi mtu au serikali kuanzia makao makuu, watu wanaoweza kuomba haki ya mijini na wilayani. Kamati hizi umiliki wa ardhi ni:zitakuwa na jukumu la kumshauri Kamishina wa Ardhi kuhusu Mwanamke au mwanamume maombi ya kumiliki ardhi. Mtanzania mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea. Majina yatakayochaguliwa kwenye 5 Kikundi cha watu wawili au Umiliki wa pamoja umegawanyika zaidi ambao ni raia wa katika sehemu mbili: Tanzania na ambao(a) Umiliki wa pamoja wa hisa/ wamejiunga pamoja chini ya maslahi zinazogawanyika sheria hii au sheria zingine za (tenancy in common) . Chini ya Tanzania. umiliki huu, endapo mmiliki mmoja anakufa basi maslahi Mtu yeyote au kikundi yake yanahamia kwa warithi chochote cha watu ambao ni wake. raia au si raia wa Tanzania(b) Umiliki wa pamoja wa hisa/ wanaweza kuomba umiliki wa maslahi zisizogawanyika (joint ardhi, lakini watapata hati miliki tenancy). Chini ya umiliki huu, isiyo asili(Derivative rights). endapo mmiliki mmoja anakufa, maslahi au hisa zake Mtu ambaye si raia wa zinahamia kwa mmiliki au Tanzania hawezi kupewa haki wamiliki waliobaki (right of ya kumiliki ardhi isipokuwa kwa surivorship). madhumuni ya uwekezaji chini ya Sheria ya Uwekezaji ya Sheria imeweka bayana kwamba 1997. umiliki wa pamoja wa hisa/maslahi zisizogawanyika utakaochukuliwa Umiliki wa Ardhi chini ya bila kibali cha mahakama ni ule wa Sheria ya Ardhi mke na mume. Watu wengine wote wa hisa au maslahi Aina za umiliki wa ardhi. zinazogawanyika wakitaka umiliki Kuna aina kuu mbili za umiliki wa wa pamoja ni lazima wapate kibali ardhi: cha mahakama. (i) Umiliki wa mtu binafsi na (ii) Umiliki wa pamoja(coMuhimu occupancy) Kila mmilikaji wa pamoja atapewa hati yake ya umilikaji wa pamoja. 6 Wanawake wahakikishe kuwa Isipokuwa pale tu ambapo wanapata hati ya umilikaji. Pia mwanandoa ataeleza bayana ugawaji wa ardhi inayomilikiwa kwa kuwa miliki ya ardhi ni yake peke pamoja hauwezekani na yake au wanamiliki kwa pamoja hauruhusiwi, ila tu chini ya umiliki wa hisa Iwapo wale wote wanaomiliki zisizogawanyika(joint occupiers). ardhi kwa pamoja mfano mume na mke wamekubaliana Uchangiaji wa mwanandoa kugawa hiyo ardhi. katika kuendeleza ardhi Iwapo yule mmiliki mmoja anaamua kuwapa au kutoa Sheria imeeleza kuwa iwapo hisa zake kwa wale wamiliki mwanandoa mmoja- labda mume wengine tu. ana haki ya kumiliki ardhi kwa jina lake, na mwanandoa mwenzie Umiliki wa pamoja na mahusiano pengine mwanamke amechangia baina ya wanandoa jasho lake, kuendeleza na kuzalisha mazao katika ile ardhi, Sheria ya Ardhi inaeleza kuwa pale yule mwanandoa aliyechangia mwanandoa anapopata ardhi kwa atakuwa amepata haki ya kumiliki matumizi ya wanandoa wote au ile ardhi kwa hisa ya pamoja mwanandoa mwenzake,(occupancy in common) na yule kutakuwepo na dhana kuwa hawa mwenye haki ya kumiliki ardhi. wanandoa wanamiliki ardhi kwa pamoja kwa hisa zinazogawanyika Kugawa na kuhamisha haki (occupiers in common). Kama ya kumiliki ardhi dhana hii haitabatilishwa basi Msajili wa Hati atawaandikisha Sheria inaeleza kuwa mtu yeyote hawa wanandoa kama wamiliki wa anayetaka kugawa au kuhamisha pamoja wa hisa/maslahi haki yake ya kumiliki ardhi, zinazogawanyika(Occupiers in anawajibika kutoa notisi kwa common). kujaza fomu na kuipeleka kwa 7 Kamishna au Afisa Ardhi ardhi. Kama mume ana mke zaidi anayehusika ili apate kibali cha ya mmoja ataulizwa mke mkubwa kugawa au kuhamisha ardhi hiyo. kwanza kama atachukua na Sheria inaruhusu mtu kurejesha watafuata wengine kwa utaratibu hati yake ya kumiliki ardhi kwa wa nani aliolewa kwanza. Kamishna. Hata hivyo Kamishna hatakubali kurejeshwa kwa ardhi Kuweka ardhi Rehani yote au sehemu ya ardhi pale ambapo kurejeshwa kwa haki Sheria inaeleza kuwa mtu mwenye hiyo kunafanywa kwa makusudi haki ya kumiliki ardhi, anaweza ya kumnyima mwanandoa kuiweka rehani. Hata hivyo kuweka (mwanamke) haki yake katika rehani nyumba ya ndoa hata ile ya ardhi hiyo. ardhi inayomilikiwa kimila, kutafuata utaratibu wa kujaza Kamishna hatakubali haki ya ardhi fomu. Fomu zinapaswa zisainiwe kurejeshwa pale ambapo ardhi na yule anayeomba mkopo, na inamilikiwa na watu wawili au zaidi, uwepo ushahidi kwenye fomu na mmojawapo hajakubali utakaoonyesha kuwa mwandoa kurejeshwa kwa haki hiyo ya ardhi anayeishi au wanaoishi katika kwa maandishi. Pia pale ambapo nyumba hiyo ya ndoa amekubali au mwanamke anamiliki ardhi pamoja wamekubaliana na rehani hiyo. na mume wake, hati ya maandishi Iwapo itabainika mwanandoa kutoka kwa mwanamke mmoja hakutoa idhini, rehani hiyo inayoonyesha kukubali kurejeshwa itakuwa batili. kwa ardhi hiyo itahitajika. Aidha, endapo mkopaji anaweka Muhimu rehani nyumba ya ndoa ambayo iko kwa jina lake ni lazima Wanawake wamepewa nafasi zaidi amjulishe mwenzake naye kama ya kumiliki ardhi pale ambapo atakubali aonyeshe kwa mume wake atataka kurudisha maandishi. Vyombo vinavyotoa 8 mikopo(kwa mfano Benki), Ukodishaji na upangaji vimepewa wajibu wa kuuliza, iwapo mwenye nyumba au Sheria pia inaruhusu mtu anayeomba mkopo amepata kibali kukodisha/kupangisha ardhi au cha mwanandoa mwenzie, kama majengo au kuitoa kwa leseni kwa Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 muda maalum. Iwapo yule inavyoeleza. aliyepanga ardhi au majengo hakutimiza masharti ya upangaji, Pia iwapo mwenye haki ya kumiliki yule mwenye ardhi yake, anaweza ardhi au nyumba atataka kuuza, kuchukua hatua zipasazo ili kukodisha au kuhamisha haki yake arudishiwe ardhi yake na mkataba kwa mtu mwingine, yule wa upangaji usitishwe. Lakini atakeyehamishiwa ile ardhi au mpangaji anaweza kuomba unafuu kupewa, atakuwa na wajibu wa kama inavyoelezwa hapa chini. kuuliza iwapo kibali cha mke wake/ wake zake kimetolewa kufuatana Yaani, mpangaji anaweza kuomba na Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971. unafuu mahakamani, ili amri ya kukatisha mkataba isitolewe. Angalizo Mahakama wakati wa kutoa amri hiyo, ya kusitisha mkataba wa Iwapo yule anayetaka kugawa au upangaji, pamoja na mambo kuweka rehani atadanganya kuwa mengine itaangalia umri, hali ya mwanandoa mwenzake kipato, afya, pamoja na idadi ya amekubali, basi kugawa huko, au wanaomtegemea mpangaji. Hii ina kuweka rehani kutakuwa maana kuwa mahakama itajiuliza BATILIFU, kutegemeana na maswali mbali mbali, kwa mfano, wanandoa au mwanandoa ambaye je mpangaji ataachwa bila mahali hakutoa kibali. pa kuishi? Je mpangaji ana namna nyingine ya kujipatia kipato yeye na wanaomtegemea? Je mke au mume wa mpangaji anaweza 9 kupata taabu na shida iwapo amri ya sheria za Serikali za Mitaa ya ya kusitisha mkataba itatolewa? mwaka 1982, kutoa hati ya kijiji kwa ajili ya eneo zima la kijiji na Muhimu mamlaka ya kijiji ili kutoa hati za viwanja kwa wanakijiji katika eneo Wanawake au wanaume la kijiji. wanaomtegemea mume/mke wanalindwa na sheria kwa Nafasi ya Mwanamke katika kuhakikisha kuwa hawapati shida kumiliki Ardhi ya Kijiji pale ambapo amri ya kusitisha mikataba ya upangaji pamoja na Kama ilivyolezwa hapo awali katika fidia itakapotolewa. misingi mikuu ya sheria hizi, Sheria hii pia imewapa wanawake haki Sheria ya Ardhi Vijijini 1999 katika kumiliki ardhi kimila, haki ambayo hapo awali ilikuwa haipo Kwa jumla sheria hii ni mpya kwa na kama ilikuwepo basi ni katika sababu hapo awali hapakuwepo na baadhi ya mila na desturi zetu sheria iliyopitishwa na Bunge ili ambazo tunaweza kusema ni nzuri kusimamia ardhi iliyoko vijijini. Hii japokuwa ni chache sana. ni kutokana na umuhimu wa ardhi kama inavyoelezwa kwenye Sera Katika kuelezea ni jinsi gani na kwa ya Taifa ya Ardhi(1995) kuwa ardhi kiwango gani mwanamke yote ina thamani, iwe ya vijijini au amepewa nafasi katika kumiliki mijini na iwe imeendelezwa au la. ardhi ya kijiji, ni vizuri kuangalia sehemu kuu tatu za sheria hii Madhumuni hasa ya sheria hii ni ambazo zinafafanua juu ya kuweka usimamizi wa ardhi vijijini; utumikaji wa misingi ya sera ya kuweka mipaka ya maeneo ya vijiji, Taifa ya Ardhi, utawala na na kuweka ardhi za vijiji chini ya usimamizi wa ardhi ya vijiji ikiwa ni usimamizi wa Mkutano Mkuu wa pamoja na utoaji na usimamizi wa Kijiji, Halmashauri za Vijiji na chini haki ya kumiliki ardhi kimila; 10 usuluhishi unaohusu ardhi na Halmashauri ya Kijiji(Village mwisho mfumo wa utatuzi wa Council) ambayo imeundwa kwa migogoro ya ardhi vijijini. mujibu wa sheria za serikali za Mitaa 1982. Halmashauri ya Kijiji Utumikaji wa Sera ya Taifa ya itafanya shughuli hiyo kama Ardhi msimamizi wa wanakijiji ambao ndio wanufaishwa. Hivyo basi Misingi ya sera ya kitaifa ya ardhi wanawake lazima waelewe kama tulivyoieleza hapo awali kwamba wanayo nafasi kubwa lazima itiliwe maanani katika katika kusimamia ardhi ya vijiji vyao masuala ya ardhi ya vijijini. Katika iwapo watakuwa wajumbe wa kuhakikisha nafasi ya Halmashauri ya Kijiji. Pia sheria hii mwanamke inalindwa, kifungu inaeleza kuwa Halmashauri ya cha 3(2) kinaeleza kuwa haki ya Kijiji haiwezi kumpa au kumgawia mwanamke katika kupata, mtu yeyote yule haki ya kumiliki kutumia na kugawa ardhi ardhi kimila pasipo kupata kibali kutakuwa sawa na kwa masharti cha Mkutano Mkuu wa Kijiji. Ni kwa yale yale kama ilivyo haki ya mantiki hiyo basi wanawake mwanamume. Sheria hii wanayo nafasi nzuri tu kwa kupitia inaonyesha wazi kuwa hakutakuwa Mkutano Mkuu wa Kijiji ambao na tofauti yoyote katika haki juu ya husimamia utoaji wa hati za masuala ya ardhi kwa jinsia zote. kumiliki ardhi kimila katika maeneo Hii inathibitisha nafasi ya yao. mwanamke katika kumiliki ardhi. Lengo la utaratibu huu ni Utawala na Usimamizi wa kuhakikisha kuwa haki inatendeka ardhi vijijini wakati wa kugawa ardhi. Halmashauri ya Kijiji inatakiwa Chini ya sheria hii masuala ya kutoa taarifa na kupokea maoni ya usimamizi wa ardhi ya Kijiji wanakijiji juu ya utawala na yamewekwa mikononi mwa usimamizi wa ardhi ya vijiji kupitia 11 Mkutano Mkuu wa Kijiji ambacho ndiyo chombo chenye mamlaka katika ngazi ya Kijiji. Pia, katika usimamizi wa ardhi ya Kijiji, sheria hii imeeleza wazi kuwa sheria hii ndiyo itakayotumika katika umilikaji wa ardhi kimila na kwamba pale ambapo sheria hii haiko wazi au hakuna sheria nyingine iliyotungwa na Bunge inayohusu suala hilo, basi sheria ya mila itatumika. Hata hivyo katika kuona na kuelewa matatizo yatokanayo na matumizi ya sheria za kimila sheria hii imeweka bayana katika kifungu cha 20(2) kuwa hizo sheria za kimila lazima ziendane na misingi ya Sera ya Taifa ya Ardhi, misingi ya haki za binadamu pamoja na sheria nyingine za Bunge. au mtoto au mtu yeyote mwenye maumbile tofauti haki yake ya kisheria ya kupata, kumiliki au kutumia ardhi. Siyo tu kwamba kipengele hiki kinamlinda mwanamke dhidi ya sheria za kimila ambazo ni potofu pia bali kinampa nafasi mwanamke kuweza kuhakikisha kuwa mila na desturi potofu zinazomnyima mwanamke haki ya kumiliki ardhi kimila zinaachwa na hata kutokomezwa kabisa. Nani anaweza kuomba umiliki wa ardhi Kijijini? (i) Mwanamke au mwanaume, yeyote ambaye ni mwanakijiji mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea anaweza kuomba haki ya kumiliki ardhi kijijini. Muhimu (ii) Sheria za kimila zitakuwa ni batili na hazitatumika wala kupewa uzito wowote na Halmashauri ya Kijiji au Mkutano Mkuu wa Kijiji iwapo zitakuwa zinamnyima mwanamke 12 Mtu yeyote yule au familia yoyote ile au hata kikundi chochote cha watu kinachotambulika chini ya sheria ya mila au ambacho kimejiunga kama chama cha ushirika. (iii) Mtu yeyote ambaye aliolewa na kuachika au ameondoka kijijini hapo chini ya miaka miwili, na mwanandoa mwenzake alikuwa mwanakijiji kabla ya kufunga ndoa na wote ni raia wa Tanzania. Hii inaonyesha na kuweka wazi nafasi ya mwanamke kupata ardhi katika kijiji chake na hata katika kijiji ambacho mumewe alikuwa mwanakijiji kabla ya ndoa yao. (iv) Kikundi chochote cha watu ambao kwa kawaida si wakazi wa kijiji wanaweza kuomba haki ya kumiliki ardhi kijijini, ila ni lazima wawe na wadhamini wasiopungua watano, ambao ni wanakijiji na waonyeshe nia ya kuanzisha makazi ya kudumu ndani ya kijiji hicho ndani ya kipindi cha miezi miwili. Katika kuhakikisha kuwa mwanamke ana nafasi sawa katika kupata ardhi, Sheria imeeleza wazi kuwa katika kutolea maamuzi maombi yoyote ya haki ya kumiliki ardhi kimila, Halmashauri ya Kijiji itafanya hivyo huku ikitilia maanani usawa wa watu wote, kama vile kuyapa uamuzi sawa maombi toka kwa mwanamke au kikundi cha wanawake na yale yanayotoka kwa mwanamume au kikundi cha wanaume. Muhimu Sheria hii haimpi mwanamke nafasi sawa na mwanamume katika kupewa ardhi tu, bali pia inajaribu kumlinda dhidi ya ubaguzi wowote ambao unaweza kufanywa dhidi yake. Hii inazidi kumhakikishia nafasi ya kupewa ardhi kama mtu mwingine yoyote yule. Kwa vile ardhi ya vijijini sasa ina hadhi na thamani sawa na ile ya mijini kutakuwepo utaratibu wa kupeleka maombi katika fomu maalumu. Hati miliki itatolewa, vilevile itakuwa inalipiwa kodi. Hivyo basi sheria hii katika kuangalia na kutilia maanani uwezo wa watu kifedha, imeeleza 13 bayana kuwa pale ambapo Baraza la Kijiji linataka wamiliki ardhi walipie kodi, malipo hayo lazima yafanyike kwa mfumo wa kulipa kidogo kidogo na hii itaelezwa wazi katika Hati ya kumiliki ardhi ili kuwawezesha wanakijiji wote kumiliki ardhi. Kurejesha, Kugawa au Kuhamisha Haki ya Kumiliki Ardhi Sheria imewapa uhuru wa kupeleka maombi kwenye Halmashauri ya Kijiji endapo wanataka kugawa au kuhamisha haki ya kumiliki ardhi. Hata hivyo katika kufikiria maombi ya mtu binafsi ya kutaka kugawa/kutoa ardhi yake anayoimiliki kihalali, Halmashauri ya Kijiji inatakiwa ihakikishe kuwa mahitaji maalum ya wanawake ya kupata ardhi yanatimizwa kwanza. Kwa kuhakikisha kwamba kurejesha, kugawa au kuhamishwa kwa haki ya kumiliki ardhi hiyo hakujapangwa kwa nia ya kumdhulumu mwanamke haki yake ya kumiliki ardhi. Na kwamba kabla ya kutolewa uamuzi ni lazima kumuuliza mwanandoa wa mrejeshaji kama atahitaji ardhi hiyo. Endapo mrejeshaji ni mwanamume na ana mke zaidi ya mmoja basi wake zake wataulizwa kulingana na mpangilio wa nani aliyeolewa kwanza. Muhimu Vipengle vyote hivi vinampa mwanamke nafasi ya kumiliki ardhi kabla ardhi anayomiliki mumewe haijatolewa kwa mtu mwingine. Rehani, Upangaji na Ukodishaji Maswala yote haya yanafuata taratibu sawa kama ilivyoelezwa hapo awali chini ya Sheria ya Ardhi Namba 4 ya 1999. Usuluhishi na Utatuzi wa Migogoro ya Ardhi Ugawaji na umilikaji wa ardhi na maamuzi yanayofanyika kuhusiana na ardhi hayakosi migogoro na migongano ya hapa na pale. Ili kuhakikisha kuwa haki inatendeka na watu wote wanapata haki sawa katika kupata na kumiliki 14 ardhi, migogoro hiyo inabidi itatuliwe kisheria. Hivyo basi Sheria hizi zote za ardhi zimeweka vyombo mbalimbali ili kushughulikia usuluhishi wa migogoro hiyo. Vyombo hivi ni: 〈 Mahakama ya Rufaa ya Tanzania 〈 Mahakama Kuu-kitengo cha Ardhi 〈 Baraza la Wilaya la Ardhi na Nyumba 〈 Baraza la Kata 〈 Baraza la Ardhi la Kijiji Hata hivyo kabla ya kupeleka migogoro ya ardhi katika vyombo vya ngazi za juu, migogoro ya ardhi inatakiwa ipelekwe kwanza kwenye Kamati ya Maamuzi ya Kijiji. Kamati hii inatakiwa iwe na wajumbe tisa ambao kati yao wanawake wasiwe chini ya wanne. Akidi ya mkutano wa kamati ya maamuzi ni wajumbe watano ambao angalau wawili ni lazima wawe wanawake. Kazi za Kamati ya Maamuzi Mojawapo ya kazi za Kamati hii ni:〈 Kulinda maslahi ya wanawake, watoto na watu wenye udhaifu wakati inapotoa maamuzi yake. 〈 Kutatua migogoro ya ardhi inayohusiana na mipaka na haki ya njia(easement) Baraza la Ardhi la Kijiji Baraza hili linatakiwa liwe na wajumbe saba, ambao kati yao watatu ni lazima wawe wanawake. Koramu ya mkutano wa Baraza hili ni wajumbe wanne ambao kati yao wawili ni lazima wawe Wanawake. Kazi za Baraza la Ardhi la Kijiji ni kutatua migogoro yote kijijini inayohusiana na masuala ya ardhi. Makosa ya Jinai Sheria zote mbili zimeeleza kuwa ni kosa la jinai kwa mtu yeyote kutoa habari za uongo kimaandishi au kwa mdomo kuhusiana na ugawaji wa ardhi au shughuli yoyote inayohusu ardhi au jambo lolote linalohusiana na sheria hii ya ardhi. Iwapo itabainika kuwa mtu ametenda kosa lolote la aina hii, atahukumiwa kifungo kisichozidi 15 miaka mitatu, au faini isiyozidi shilingi milioni moja au vyote faini na kifungo kwa pamoja. Wito Wanawake tujitokeze kwa wingi kupata nafasi hizi ili tuhakikishe kuwa maslahi yetu katika ardhi yanaangaliwa ipasavyo. Ni katika kufanya hivyo tutaweza kuwasaidia wanawake wenzetu na sisi wenyewe. Hatuna budi tuelewe kwamba hakuna mtu mwingine atakayetetea maslahi ya wanawake katika kumiliki ardhi isipokuwa sisi wanawake wenyewe. Ni matumaini yetu kuwa iwapo tutaelimika leo, nasi tutaweza kuwaelimisha wanawake wengine na tutakuwa tunawasaidia kwa kiasi kikubwa sana. Ni jukumu la kila mwananchi na serikali wakiwepo Maafisa wa Ardhi na Kamati mbalimbali za kushughulikia masuala ya ardhi, ili kwa pamoja tuweze kusukuma gurudumu la maendeleo. HITIMISHO Ni ukweli ulio wazi kuwa wanawake hawapewi haki sawa na wanaume hasa katika mambo ambayo mila na desturi imetawala zaidi. Pia juhudi zozote zinazofanywa kisheria kwa lengo la kuondoa ubaguzi wa kijinsia, hasa ambapo suala lenyewe linagusa mila na desturi ambazo zilikuwepo toka enzi, zinachukua muda mrefu kueleweka na kukubalika katika jamii kiasi cha kukatisha tamaa. Hata hivyo hii isituvunje moyo kwani siku moja jamii itaelewa umuhimu wa kuachana na mila na desturi zinazobagua jinsia. Tunaamini kabisa kuwa juhudi tutakazozielekeza katika kuelimisha jamii nzima kuhusu sheria hizi mpya zitazaa matunda mazuri. Hivyo basi tunawaomba kila mtu atumie nafasi yake kuielimisha jamii juu ya sheria za ardhi. Maswali kwa wasomaji 1. Eleza nafasi ya mwanamke katika kumiliki ardhi. 2. Eleza mapungufu yatakayojitokeza katika utekelezaji wa sheria ya ardhi 3. Njia zipi zitumike ili sheria za ardhi zijulikane kwa jamii? 16 SURA YA PILI SHERIA YA NDOA 17 UTANGULIZI K atika Sura hii tutajifunza maana ya ndoa. Tutaangalia ni vigezo gani vinazingatiwa ili wenye kutaka kufunga ndoa waweze kufanya hivyo, ndoa batilifu na sababu zinazoweza kuifanya ndoa kuwa batilifu. Pia tutajifunza kuhusu haki na wajibu wa wana ndoa katika ndoa. Mwishoni tutatoa maswali machache kwa wasomaji wetu kama changamoto kwao baada ya kujifunza mada hii. Ndoa ni taasisi ya zamani sana katika jamii. Ni kitu kilichoanza tangu mwanadamu alipoanza kuishi. Kwa kuwa ndoa ndio chimbuko la jamii yeyote ile, kila jamii ina utaratibu wa kufuata ili ndoa iwepo na ndoa hiyo na mahusiano yanayotokana yawe mazuri na ya kudumu. Kabla ya ujio wa wageni, Watanganyika walikuwa wakiongozwa na taratibu za mila katika masuala ya ndoa. Kila kabila au jamii walikuwa na utaratibu wao. Kuja kwa wageni hapa Tanzania kuliandamana na taratibu ngeni kuhusu mambo yanayohusu ndoa. Waarabu walipokuja walikuja na sheria na taratibu zao. Lakini kwa upande wa ndoa sheria zao hazijaingilia sana taratibu za kimila kuhusu ndoa. Wajerumani na hata Waingereza walikuja na mfumo wao. Mfumo huu ulienda sambamba na imani ya dini ya Ukristo waliyoileta iliyomtaka mwanaume awe na mke mmoja tu. Hii ilikuwa ni kinyume na taratibu au mfumo wa kimila ambapo mtu aliweza kuoa wake wengi kadiri ya uwezo wake. Pia katika imani ya Kiislamu waumini wake waliagizwa kuoa wake si zaidi ya wanne kwa wakati mmoja. Kadhalika imani hizi za Ukristo na Uislamu zilikataza mtu kuoa au kuolewa na mtu wa dini tofauti. Ilipofika mwaka 1921 serikali ya kikoloni ilitunga sheria iliyozipa mahakama walizozianzisha mamlaka ya kushughulikia masuala ya ndoa. Mahakama zilizoanzishwa zilikuwa za aina 18 mbili, yaani mahakama za kimila na mahakama za serikali kuu ya kikoloni. Mashauri yaliyohusu ndoa zilizofungwa kimila yalipelekwa katika mahakama za Kimila. Mahakama hizi zilikuwa zinawahudumia wale wenye asili ya Kiafrika tu. Kama ndoa ilikuwa imefungwa Kikristo mahakama za kienyeji hazikuwa na mamlala ya kusikiliza ndoa hiyo. Shauri kama hilo lilikuwa linapelekwa katika mahakama za serikali. Mahakama za serikali pia zilikuwa na mamlaka ya kusikiliza shauri lolote toka kwa mtu yeyote. Zilipewa uwezo wa kutafsiri na kutumia sheria za mila ikiwa waliona sheria za mila hazipingani na utamaduni na sheria zao. Mwaka 1963 serikali iliondoa mfumo wa mahakama wa kikoloni na kuleta muundo mpya. Pamoja na mabadiliko haya sheria za mila kuhusu ndoa ziliendelea kutumika sambamba na mafundisho ya dini kuhusu ndoa. Mwaka huo huo wa 1963 serikali ilitangaza Sheria ya Hali za Watu. Sheria hii ilijaribu kukusanya taratibu mbali mbali za mila toka karibu makabila yote ya Tanganyika na kuziweka katika Tangazo la Serikali na. 279 la mwaka 1963. Pamoja na mkusanyo huu wa sheria za mila, mfumo mpya wa mahakama uliendelea kutumia taratibu karibu zile zile za Kiingereza(kikoloni). Kwa mfano, pale ambapo sheria fulani ya mila ilionekana kwenda kinyume au inapingana na mwelekeo wa serikali, sheria hiyo ilibatilishwa. Sambamba na msimamo huu wa serikali wa kupitisha mfumo mpya wa mahakama, dini zote ziliendelea kuhimiza waumini wao kufuata dini zao zinavyosema kuhusu ndoa. Tofauti na utatanishi ulijitokeza miongoni mwa waumini wa dini hizo ambao ulipelekea serikali kutunga Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971. Sheria hii ndiyo tutakayoijadili kwa undani katika Sura hii. 19 SEHEMU YA KWANZA wote wanalazimishwa kufunga ndoa. Maana ya Ndoa (b) Muungano uwe ni kati ya Kufuatana na Sheria ya Ndoa ya mwanamke na mwanamume Mwaka 1971,ambayo inasimamia masuala ya ndoa nchini. Ndoa ni Muungano wa watu wa jinsia muungano wa hiari kati ya moja hata kama ni wa hiari mwanamume na mwanamke muungano huo hautambuliki unaokusudiwa kudumu kwa muda kisheria. Pia mtu huhesabika wa maisha yao. mwanamke au mwanamume kutokana na sehemu za siri Je ni vigezo gani vya kuzingatia ili alizozaliwa nazo na siyo wanaotaka kufunga ndoa alizozipata baadaye. Jamii wakubaliwe kisheria kufunga ndoa inachukulia kuwa ndoa ni njia yao? Sheria inatamka vigezo pekee ya kujiongeza. vifuatavyo:- Kuongezeka huku ni kwa kuzaa watoto. Kwa hali hiyo ili (a) Ni lazima muungano uwe wa kupata watoto ni lazima ndoa hiari iwe kati ya mwanamume na mwanamke. Mume na mke wawe wameamua kuishi pamoja kwa(c) Muungano huo uwe ridhaa yao wenyewe. Hii unakusudiwa kuwa wa inamaanisha kusiwe na kudumu kulazimishwa, kuhadaiwa kwa aina yoyote kwani muungano Pamoja na kuwa mwanamke kama huo utakuwa batili na mwanamume wameamua kisheria. Ni kosa la jinai kuishi pamoja kwa hiari yao kushiriki katika shughuli ya lakini kama muungano huo ndoa ambayo mmoja wapo au siyo wa kudumu basi 20 hautambuliki kisheria kama(e) Wafunga ndoa wawe ndoa. Muungano ni lazima uwe wametimiza umri wa kudumu maisha yote au unaokubalika kisheria kama mmoja wao atafariki au kama ndoa itakumbwa na Mwanamke na mwanamume matatizo na mahakama ikaona wanatakiwa wawe wametimiza ni bora kutoa talaka kwa yeyote miaka 18 ili kufunga ndoa. aliyefika kulalamika. Hata hivyo mwanamke anaweza kuolewa akiwa na (d) Wafunga ndoa wasiwe umri wa chini ya miaka 18 maharimu lakini sio chini ya miaka 15 kama atapata idhini ambayo Maharimu ni watu walio na hutolewa na baba na kama mahusiano ya karibu ya damu hayupo ni mama au kama wote au kindugu. wamefariki idhini itatolewa na mlezi wa binti huyo. Kama Wale wanaoamua kufunga wote hawa wamefariki basi ndoa wasiwe na uhusiano wa hatahitaji idhini. Kuna karibu kindugu. Inakatazwa mazingira fulani mahakama katika kifungu cha 14 cha inaweza kutoa idhini kwa binti Sheria ya Ndoa ya mwaka kuolewa akiwa na miaka 14 1971 mtu kuoa au kuolewa na lakini si chini ya hapa ikiwa mzazi wake, mtoto au mjukuu ataonekana kwa mfano ana wake, kama ni dada yake, mimba. Pia mwanamume mama au shangazi au baba wa anaweza kuruhusiwa na mjomba wake, baba au mama mahakama kuoa akiwa chini wa kambo na mwanaye ya miaka 18 lakini si chini ya aliyemfanya kuwa mtoto wake miaka 16 kama ataonyesha (adopted child). kuelewa jukumu lake kama mtu mzima. Lakini hii ni pale ambapo kuna tatizo kama la 21 kumpa msichana mimba ndipo mahakama inaweza ikatoa idhini. Katika ombi la kuoa la SHABIRI A.M. VIRJI(1971) HCD No. 407 la Mahakama Kuu ya Tanzania, mwombaji alikuwa na miaka 16 lakini alimpa mimba binti wa miaka 18. Mahakama katika kuchunguza ombi la mvulana la kuoa ilitoa kibali kwa sababu wote wawili walipendana na wazazi wao hawakuwa na kipingamizi cha wao kuoana. (f) Kusiwe na inayoendelea ndoa Kama mwanamke ana ndoa inayoendelea na inatambulika kisheria haruhusiwi kufunga ndoa nyingine(Polyandry). Kadhalika kama mwanamume ana ndoa ya mke mmoja au kama ni Mwislamu ana wake wanne hataruhusiwa kufunga tena ndoa. Wafunga ndoa wawe wametimiza umri unaokubalika kisheria 22 (g) Kusiwe na kipingamizi Kama ndoa imezuiwa na mahakama au mabaraza ya usuluhishi kutokana na uwezo waliopewa na kifungu cha 22 cha Sheria ya Ndoa, na ndoa ikaendelea kufungwa kabla ya mwenye kipingamizi hajasikilizwa au mahakama imeshaamua ndoa hiyo isifungwe basi ndoa hiyo itakuwa ni batili. (h) Mfungishaji ndoa kutokuwa na mamlaka Kama wanaofunga ndoa wanajua wazi kuwa anayewafungisha ndoa hana mamlaka hayo na kwa makusudi wanakubali awafungishie ndoa basi ndoa hiyo itakuwa ni batili. Mfungishaji ndoa ili awe na mamlaka anapaswa kusajiliwa na Msajili Mkuu wa Ndoa na kupewa leseni ya kufungisha ndoa. Ni vema hata viongozi wa dini wanaoshiriki katika kufungisha ndoa kukumbuka kigezo hiki. (i) Kutokuwepo kwa wafunga ndoa Kama ndoa imefungwa bila ya wafunga ndoa wote kuwepo basi ndoa hiyo haitambuliki kisheria. Hata hivyo sheria inaruhusu ndoa kufungwa ikiwa mmoja wa wafunga ndoa hayupo lakini amewakilishwa na mtu ambaye alikuwepo wakati mfunga ndoa ambaye hayupo, alipotoa ridhaa yake ya kuoa au kuolewa. (j) Mashahidi wa ndoa Ili ndoa itambulike kisheria ni lazima ishuhudiwe na mashahidi wasiopungua wawili ambao wanaruhusiwa kisheria yaani umri wao usipungue miaka 18 na wafahamu kinachosemwa na kutendeka wakati wa kufunga ndoa. 23 (k) Kuwa katika Eda Eda ni kipindi cha kukaa ndani kinachotolewa kwa mwanamke wa Kiisilamu aliyeachika katika ndoa au aliyefiwa na mumewe, ili taratibu fulani za kidini zifanyike. Kama mwanamke ambaye ndoa ilifungwa Kiislamu anaolewa wakati kipindi cha Eda hakijaisha basi ndoa hiyo ni batili. Lakini mjane au mtalaka awe anafuata dini ya Kiislamu. Kama atabadili dini baada ya kufiwa au kupewa talala masharti ya Eda hayatambana. SEHEMU YA PILI Aina za Ufungaji wa Ndoa na Taratibu za Kufuata Kabla ya kufunga ndoa utaratibu ufuatao lazima uzingatiwe: (a) Kutoa Taarifa ya nia ya Kuoana Kwanza kama mwanamke na mwanamume wanataka kufunga ndoa ni wajibu taarifa ya nia ya kufunga ndoa itolewe kwa mfungishaji ndoa siku 21 kabla ya siku ya kufunga ndoa. Taarifa hiyo ionyeshe mambo yafuatayo:(i) Majina kamili na umri wa hao wanaotaka kuoana. (ii) Uthibitisho kwamba hakuna kipingamizi dhidi ya hiyo ndoa wanayotarajia kufunga. (iii) Majina kamili ya wazazi wao na sehemu wanakoishi. (iv) Hadhi ya wafunga ndoa. Yaani kama ni mwanamke ifahamike kama hajaolewa, ametalikiwa au ni mjane na mwanamume pia anapaswa kuwa hajaoa, au ana mke/wake wengine(hii ni kwa ndoa za kiserikali na Kiislamu) au kama ametaliki. (v) Kama muolewaji ana umri chini ya miaka 18, jina la mtu aliyetoa idhini ya yeye kuolewa kama yupo lionyeshwe. 24 (v) Kama ni ndoa ya Kiserikali au Kiislamu hapana budi kueleza kama ndoa ni ya wake wengi au inatazamiwa kuwa ya wake wengi wa majina ya wake waliopo yatajwe. Pia katika fungu hili kama mtu anataka ndoa iwe ya mke mmoja anapaswa kueleza. (b) Kutangaza nia ya Kufunga Ndoa Baada ya taarifa yenye maelezo haya kufikishwa kwa mfungishaji ndoa, yeye atawajibika kuitangaza nia hii ya kufunga ndoa. Sababu ya kufanya hivyo ni ili kama kuna mwenye kipingamizi na ndoa hiyo atoe taarifa. Matangazo haya hutolewa kulingana na aina ya ufungishaji wa ndoa. Kama ndoa inatarajiwa kufungwa kidini, matangazo hutolewa sehemu za ibada. Kama ni ndoa ya Kiserikali tangazo litabandikwa nje ya ofisi ya Msajili wa Ndoa ambaye ni Mkuu wa Wilaya. Vipingamizi vya ndoa viko vya 25 aina mbili, cha kwanza ni kile cha kisheria yaani kama ndoa itakayofungwa itakuwa batili. Kipingamizi cha pili ni kama muoaji ana mke au wake wengine tayari, hivyo mke au wake wanaweza kutoa kipingamizi kama uwezo wa muoaji kifedha ni mdogo kiasi kwamba kuongeza mke mwingine kutazidisha taabu. Mfungishaji ndoa anapopokea taarifa ya kupinga ndoa isifungwe, ataipeleka taarifa hiyo kwenye Baraza la Usuluhishi la Ndoa. Huko aliyeweka pingamizi pamoja na yule anayetaka kuoa au kuolewa wataitwa na kila mmoja atajieleza. Baada ya kusikiliza pande zote Baraza lina uwezo wa kuamua ndoa hiyo ifungwe au isifungwe na mfungishaji ndoa atafuata uamuzi wa Baraza. Kama mtu atatoa kipingamizi cha uongo na ikithibitika hivyo, adhabu yake anaweza kufungwa kifungo kisichozidi miaka mitatu. Baada ya kipengele hiki kutimizwa ndoa inaweza kufungwa. Aina za ndoa Kuna aina mbili za ndoa; kisheria na taarifa ya nia ya kufunga ndoa itolewe na ndoa ifungwe mahali pa wazi panapokubalika kisheria na mfungishaji awe na mamlaka hayo kisheria. (a) Ndoa ya mke mmoja(b) Ndoa ya Kiserikali Huu ni muungano unaoruhusu Ndoa hii hufungwa mbele ya mwanamme kuoa si zaidi ya Mkuu wa Wilaya ambaye ndiye mke mmoja. Mfano, ndoa ya Msajili wa Ndoa. Ndoa Kikristo. itafungwa katika Ofisi ya Msajili au mahali pengine popote (b) Ndoa ya zaidi ya mke mmoja palipotajwa katika leseni yake ya kufungisha ndoa. Huu ni muungano unaoruhusu mwanamume kuoa mke zaidi(c) Ndoa ya Kimila ya mmoja. Mfano, ndoa za Kiislamu na ndoa za kimila. Ndoa inaweza kufungwa kimila iwapo mmoja wa wafunga Sheria ya Ndoa inatambua ndoa au wote wawili wanafuata aina 3 za ufungaji wa ndoa sheria za mila za kabila fulani. yaani kiserikali, kidini na kimila. Mdhamini wa ndoa za kimila ni Katibu Tarafa. Ndoa ya kimila (a) Ndoa ya Kidini hufungishwa na mtu anayetambulika kimila kuwa Ndoa hii hufungwa kwa mujibu ana uwezo huo. Ni muhimu wa taratibu ya dini sana Katibu Tarafa kuhudhuria inayohusika. Ni lazima kwenye ufungishaji huo wa masharti yote yatimizwe ndoa kwani ndiye 26 atakayehusika na kuleta vyeti kuchukuliwa kuwa ni mke na mume vya ndoa kutoka kwa Msajili. mbele ya sheria japokuwa hawakuwahi kufunga ndoa. Dhana Ufungaji Ndoa nje ya Nchi hii imeelezwa katika kifungu cha 160 cha Sheria ya Ndoa. Ili dhana Kifungu cha 8 cha Sheria ya Ndoa, hii iwepo ni lazima yafuatayo 1971, kinampa mamlaka Waziri wa yathibitishwe. Sheria kuteua baadhi ya maofisa ubalozi kuwa wasajili wa ndoa. Ni(1) Lazima ithibitike kwamba lazima msajili aridhike kuwa mwanamke na mwanamume masharti yote yametimizwa ndipo wameishi pamoja kwa muda afungishe ndoa. Kuna masharti ya wa miaka 2 au zaidi kwa nyongeza kama angalau mmoja mfulilizo. wa wafunga ndoa hawa ni Mtanzania. Pia kama mmoja wa(2) Lazima pia ithibitike kuwa wafunga ndoa si Mtanzania ni umma unaowazunguka lazima Msajili aridhike kuwa ndoa wanawachukulia na kuwapa inayokusudiwa kufungwa heshima kama mke na mume. itatambulika kisheria katika nchi ambayo huyo mmoja wa wafunga(3) Lazima ithibitishwe kuwa watu ndoa ni mkazi. Utaratibu hao walikuwa na uwezo wa unaotumika kufungisha ndoa hizi kuwa mke na mume wakati ni sawa na ule unaotumika katika walipoanza kuishi pamoja na kufungisha ndoa za Kiserikali. kama walikuwa na umri uliokubalika kisheria. Dhana ya Kuchukulia Ndoa (4) Ni lazima pia ithibitishwe kuwa Kuna dhana inayokanushika kati ya hao wawili au wote (rebuttable presumption) kuwa hakuna aliye na ndoa mwanamume na mwanamke inayoendelea. wakiishi pamoja huweza 27 SEHEMU YA TATU Ndoa Batilifu na Sababu Zinazoweza Kuifanya Ndoa kuwa Batilifu Ndoa batilifu ni ndoa ambayo itachukuliwa kisheria kuwa ni ndoa halali hadi hapo amri ya kuivunja itakapotolewa. Ndoa batilifu ni halali kama ndoa nyingine isipokuwa ina kasoro fulani. Wanandoa katika ndoa hii wana haki na wajibu sawa kama ilivyo katika ndoa nyingine zisizo na kasoro. Kadhalika watoto waliozaliwa katika ndoa ya namna hii ni halali na wana haki zote kisheria. Ni Vitu gani Vinafanya Ndoa kuwa Batilifu? Kuna sababu nyingi tu ambazo zinaweza kuifanya ndoa kuwa batilifu. Sababu hizo ni: 1. Maradhi ya zinaa Kama wakati wa kufunga ndoa mmoja wa wafunga ndoa alikuwa na maradhi ya zinaa na yule asiye na ugonjwa kama wakati wa kufunga ndoa alikuwa hajui lolote kuhusu maradhi hayo anaweza kulalamika mahakamani na ndoa ikavunjwa. 2. Kukataa kwa Makusudi Kuitimiliza ndoa Kama baada ya kufunga ndoa mmoja wa wafunga ndoa atakataa kuitimiliza ndoa anayekataliwa ana haki ya kuiomba mahakama kuvunja ndoa hiyo. Maingiliano yanayotambulika kisheria ni yale yanayofanyika siku ya ndoa na kuendelea na siyo kabla ya ndoa. Kukataa kutimiliza ndoa kunakuwa sababu ya kubatilisha ndoa ikiwa mwenye kukataa hana sababu yoyote ya msingi na mwenye kukataliwa ametumia kila mbinu kumshawishi aliyekataa lakini ikashindikana. 28 3. Mimba ya mwanamume mwingine Kama wakati wa kufunga ndoa mke atathibitika kuwa ana mimba aliyopata kwa mwanamume mwingine, mume anaweza kuiomba mahakama ivunje ndoa hiyo. Kama itathibitika kuwa mume alijua hiyo hali wakati wa kufunga ndoa, lalamiko lake halitasikilizwa. 4. Wazimu au kifafa cha vipindi Mmoja wa wafunga ndoa kama ana wazimu au kifafa cha kurudia rudia na mwenzake alikuwa hajui hiyo hali wakati wa kufunga ndoa, atakuwa na haki ya kuiomba mahakama kuivunja ndoa hiyo. Ieleweke kuwa ugonjwa ni lazima uwe unarudia rudia na siyo mtu awe aliugua na akapona. 5. Kushindwa kutimiliza ndoa Kama mmoja wa wafunga ndoa atashindwa kuitimiliza 29 ndoa basi ndoa hiyo inaweza kubatilishwa. Kwa mwanamume kama anashindwa kuitimiliza ndoa kwa sababu ya kukosa nguvu za kiume basi ana haki ya kuiomba mahakama kuibatilisha ndoa. Ili kukosa nguvu za kiume kuwe sababu ya kubatilisha ndoa ni lazima ithibitike kuwa hali hiyo ilitokea kabla au wakati wa kufunga ndoa na siyo baada ya kufunga ndoa. Ili ndoa iweze kubatilika ni lazima kukosa nguvu huko kuthibitishwe na daktari kuwa hakuponi au kunapona lakini mwanamume hataki matibabu. Pia mwanamke anaweza kuwa na maumbile ambayo yanaweza kufanya ndoa ishindwe kutimilizika. Ikithibitika hali hi inatibika lakini mwanamke hataki tiba mwanamume anaweza kuomba ndoa kubatilishwa. Ili mahakama iweze kusikiliza shauri la kuomba kubatilisha ndoa ni lazima shauri hilo lipelekwe mahakamani haraka. Kama shauri litakwenda mahakamani kufanya uamuzi wa kugeuza ndoa baada ya mwaka mmoja tangu ni budi wanandoa wakubaliane tarehe ya ndoa, mahakama kuhusu uamuzi huo. Kitendo cha haitalipokea. Pia ni lazima kugeuza ndoa hufanywa mbele ya ithibitike kuwa mlalamikaji Hakimu wa Wilaya au Jaji ambapo alikuwa hajui kasoro hiyo wanandoa watatoa tamko la wakati wa kufunga ndoa na maandishi lenye sahihi zao na baada ya kuigundua kasoro Hakimu au Jaji aliyeshuhudia naye hiyo hajawahi kuingiliana na hutia sahihi yake. mwenzie. Katika kugeuza ndoa, ndoa ya Ndoa batilifu huvunjwa na kiserikali, ya kienyeji au ya mahakama pekee baada ya Kiislamu inaweza kugeuzwa kuwa kupokea malalamiko toka kwa ya mke mmoja kama kabla ya mmoja wa wanandoa. Kama kugeuza ilikuwa ni ndoa ya wake hakutakuwa na malalamiko wengi. yatakayopelekwa mahakamani na anayeathirika Ikumbukwe kuwa kubadilisha dini na kasoro hizo, ndoa hiyo pekee hakubadilishi hadhi ya ndoa. itadumu ama labda mpaka Vile vile ndoa ya kikiristo haiwezi mmoja afariki au mpaka talaka kugeuzwa kuwa ya wake wengi itatolewa na mahakama kama wala ndoa ya wake wengi kuna maombi ya kuvunja ndoa inayodumu kuwa ya mke mmoja. hiyo. SEHEMU YA NNE Kugeuza Ndoa Haki na Wajibu katika Ndoa Watu waliooana wana uhuru wa kugeuza ndoa yao pale Baada ya taratibu zote za ndoa wanapofuata taratibu kufuatwa na kwamba ndoa haina zinazokubalika kisheria. Kabla ya kasoro yoyote, mke ana haki 30 mbalimbali anazostahili kuzipata kwa fedha zake mwenyewe. Mke kisheria. Haki hizo ni kama pia ana haki ya kuingia mikataba, ifuatavyo:- kufungua madai dhidi ya wadeni wake au kudaiwa, kununua mali au Matunzo kuiuza. Kwa kuwa mume nae ana haki hizo hizo, hii inamaanisha Mke au wake wana haki ya kuwa ndoa peke yake haibadilishi kutunzwa na mumewe/mume wao haki ya kumiliki mali kati ya mke kwa kuwapatia mahitaji muhimu na mume. Pamoja na hali hii mke kama chakula, malazi, mavazi, na mume wanaweza kukubaliana matibabu n.k. kulingana na uwezo kuwa mali ambayo kila mmoja aliyo wa kumtunza mke/wake kwa nayo kabla ya ndoa au wakati wa sababu zinazoeleweka. Mke/wake ndoa iwe yao pamoja. wanapaswa kujisaidia wenyewe na kumsaidia mume. Mke Kukopa kwa Dhamana ya Mumewe Kama ni kijijini mume anapaswa kumpa mke jembe, kumwonyesha Kwa kuwa katika hali ya kawaida mahali pa kulima na kumsaidia mume ana wajibu wa kumtunza kukata miti na visiki. Iwapo mume mke na watoto kuna wakati ana mke zaidi ya mmoja ana wajibu inawezekana mume akasafiri kwa wa kuwatunza wote bila ya muda mrefu na hakuacha fedha au upendeleo. Pia mume ana wajibu alizoacha zimekwisha, au mume wa kuwatunza watoto wote amemtoroka mke na kumwachia waliozaliwa ndani ya ndoa. watoto, mke ana haki ya kukopa fedha kwa jina la mumewe au Kumiliki Mali kuweka rehani mali ya mumewe. Kutumia mali ya mumewe ambayo Mke ana haki ya kumiliki mali inahamishika au kutumia fedha za aliyoipata kabla ya ndoa na hata mumewe zilizoko mikononi mwake wakati wa ndoa kama ameipata kwa ajili ya kununulia mahitaji ya 31 muhimu kwa ajili yake na watoto makubaliano ya wote wawili. Ikiwa wake ni halali kisheria. mume atafanya chochote kwenye nyumba hii bila ya makubaliano na Haki hizi zinakuwepo kama mke na mke, mke atakuwa na haki ya mume wanaishi pamoja au kama kuishi katika nyumba hiyo hadi wametengana kwa mapatano hapo Mahakama itakapotoa kuwa mume atatoa matunzo na maamuzi ya kuvunja ndoa hiyo, mume amepuuzia mapatano hayo kutengana au amri ya matunzo. . Jambo la kuzingatia kwa makini Kadhalika mume nae anayo haki hapa ni kuwa ili haki yakutumia hiyo hiyo iwapo mke ndiye mwenye mali ya mume iweze kuwapo ni nyumba na anataka kumfukuza lazima mahitaji yanayonunuliwa mumewe. Ikumbukwe kuwa yawe ni yale ambayo kama mume nyumba ya ndoa siyo lazima iwe mwenyewe angekuwepo nyumba ambayo mmoja wao angekuwa na uwezo wa amenunua ama amejenga. Hata kuyanunua kulingana na pato lake. kama nyumba ni ya kupanga bado itatambulika kisheria kama nyumba Haki ya Kuishi Katika Nyumba ya ya ndoa. Ndoa Mali Iliyopatikana Wakati wa Nyumba ya ndoa ni nyumba Ndoa ambayo mume na mke wanaishi wakati wa ndoa. Hata kama wana Mali ya mke au mume iliyopatikana nyumba nyingi ni nyumba moja tu kutokana na jasho lao wote wawili ndiyo inayochukuliwa kama ni mali yao kwa pamoja hata kama nyumba ya ndoa. Pamoja na kuwa juhudi zao au jasho lao katika nyumba ya ndoa inaweza kuwa kupata mali hizi si sawasawa. mali binafsi ya mke au mume, Lakini pamoja na hayo kuna dhana nyumba hiyo haiwezi kuuzwa, inayokanushika kuwa kama mali hii kuwekwa rehani au kuchukuliwa na imeandikishwa kwa jina la mmoja mtu mwingine kama zawadi bila ya wao basi ni mali yake. Ni wajibu wa 32 yule anayedai kuthibitisha kuwa Kipengele cha kwanza kiliwahi pamoja na kwamba mali kuleta matatizo katika kutafsiri imeandikishwa kwa jina la ni nini maana ya“juhudi za mwenzake, ni mali yao kwa pamoja”. Kazi za ndani za mke pamoja. Kuhusu mali iliyopatikana hazikuhesabiwa kama juhudi kwa pamoja katika kesi ya za pamoja. ABDALLA SHAMTE VAUSA Na.9 ya mwaka 1972 HCD mke na Tafsiri iliyong’an’ganiwa kwa muda mume walikubaliana kujenga mrefu ni ile ya kuwa mali nyumba za kupangisha kutokana iliyopatikana kutokana na juhudi za na kipato cha mishahara yao. pamoja ni ile ambayo kila mmoja Baada ya muda waliweza kujenga wao amechangia katika kuipata. nyumba tatu. Walipoachana kwa talaka mume alikataa kumpa Mwaka 1983 Mahakama ya Rufaa mkewe mojawapo ya nyumba hizo ya Tanzania iliamua kuwa juhudi za tatu. Mke alifungua kesi ya madai pamoja inamaanisha pia kazi na kudai Shs. 33,000/= na anazozifanya mke wakati ndoa alipatiwa kama alivyoomba. Wakati inaendelea. Uamuzi huo ulitolewa wa kugawa mali ni lazima katika kesi ya Bi. HAWA Mahakama iwe imeridhika na MOHAMED dhidi ya ALI SEFU, mambo yafuatayo. KESI YA MADAI YA RUFAA YA MWAKA 1983 ambapo mume (i) Kuwa mali inayogawanywa iwe alikuwa anadai kuwa kwa vile mke imepatikana kutokana na alikuwa mama wa ndani basi juhudi za pamoja za mke na hakuchangia chochote katika mali mume. iliyochumwa wakati wa ndoa. (ii) Kuwa mali inayogawanywa inatokana na kuwepo kwa Mjane Kuwa na Uhuru wa Kuishi ndoa(matrimonial assets). anapotaka Pindi Afiwapo (iii) Kwamba mali inayogawaywa imepatikana wakati wa ndoa. Pale mke anapofiwa na mumewe 33 ana uhuru wa kuendelea kukaa au kutokukaa katika nyumba waliyokuwa wakiishi na mumewe. Pia ana uhuru wa kuolewa tena au kutokuolewa. Katika makabila yale yaliyo na desturi za kurithi wake, mwenye kurithi anapaswa afuate taratibu za kisheria za kufunga ndoa na cheti kitatolewa. Bila kujali dini, kabila au jinsia hakuna mwenye haki katika ndoa ya kumpiga mwenzake. Yaani mke haruhusiwi kumpiga mume, mume kadhalika haruhusiwi kumpiga mke. Hili ni kosa la jinai kama ambavyo umempiga mtu yeyote yule. Maswali 1. Ndoa ni nini? 2. Ni vitu gani mtu anapaswa kutilia maanani ili aweze kuruhusiwa kufunga ndoa. 3. Ni mambo yapi yanaweza kufanya ndoa kuwa batilifu? 4. Bwana Joseph Anthony yuko Nigeria na anataka kufunga ndoa mjini Lagos na Bi Nancy Ntehene wa Tanzania. Je afanyeje? 5. Bwana Sikujua baada ya kukaa na Sikudhani kwa miaka 10 ameamua kumfukuza kwa madai kuwa hajafunga naye ndoa. Je! Sikudhani ana haki gani kisheria. Na kama zipo ni kwa nini? 34 SURA YA TATU HAKI ZA MTOTO 35 UTANGULIZI Mtoto ni nani? N dugu msomaji, katika sura hii kuna maelezo ya kina juu ya haki za mtoto. Tutaangalia jinsi mtoto alivyo pamoja na haki zake kama mtoto. Tutaangalia wajibu walio nao wazazi pamoja na umuhimu wa kuwepo mtoto duniani. Wazazi wakijua wajibu wao, mtoto atapata haki zake anazostahili. Kwa hivyo wazazi hatuna budi kuelimishana. Hili ndilo lengo kuu la sura hii. Mkufunzi atakayetumia kitabu hiki atasaidia kutoa mafunzo muhimu juu ya somo hili kwa kupata maelekezo juu ya matatizo ya watoto katika sehemu unazoishi na kuona iwapo kuna uwezekano wa kurekebisha kulingana na haki za mtoto zitakazotajwa katika somo. Hili ni swali muhimu katika maelezo yote ya sura hii. Ni vizuri tufahamu mtoto anavyofahamika kisheria kwa sababu mtu yeyote anaweza kuwa mtoto kulingana na tafsiri tofauti zilizopo. Kamusi ya Kiswahili inamweleza mtoto kuwa ni: (a) Mwanadamu au mnyama ambaye hajakomaa. (b) Jina analoitwa kiumbe ambaye amezaliwa na wazazi wake wawili. Kwa tafsiri ya pili sote tu watoto bila kujali umri au maumbile. Kisheria Mtoto ni Mwanadamu yeyote mwenye Umri chini ya Miaka Kumi na Minane. Vile vile tunaangalia nafasi ya serikali katika kuhakikisha kuwa mtoto anapata haki anazostahili toka kwa wazazi, walezi, jamii na hata serikali yenyewe. Katika kitabu hiki tutakapozungumzia mtoto ni kwa mujibu wa tafsiri ya kisheria. Mtu yeyote aliye zaidi ya miaka kumi na nane si mtoto tunayemzungumzia hata kama bado anategemea wazazi wake. 36 Kwa nini Haki za Mtoto Haki ni hali ya kustahili jambo. Mtoto kama binaadamu ana mambo muhimu anayostahili ili aweze kuishi, kukua na kuendelea. Kama tafsiri ya mtoto ilivyo ni kweli kwamba mtoto; Anategemea kwa kiasi kikubwa sana walezi wake ili apate stahili zake zote. Hata pale anapojaribu kupata stahili hizo binafsi bado anapaswa kusaidiwa ili asidhurike kwa hali yoyote. Asipopatiwa stahili zake anaweza kupoteza uhai wake, au makuzi yake yakawa potofu. Hivyo ni sahihi kabisa kusema haki za mtoto ni muhimu kwa kuendeleza jamii. Watoto wakitunziwa haki; jamii inahakikishiwa kuendelea. Mtoto akikosewa haki kuna uwezekano mkubwa wa jamii kutoendelea. Pengine jamii iliyokosea watoto wake haki zao itajijengea msingi mbaya kwa kuwa na jamii yenye watu wasioelimika au magoigoi kulingana na haki ipi mtoto amekosewa. Hadhi ya Mtoto Mtoto kama tulivyomweleza kisheria ana hadhi yake. Kwa ujumla watoto wamegawanyika kutokana na hadhi walizonazo kisheria. Wapo watoto wanaoitwa halali au kwa kiingereza huitwa (Legitimate) na watoto wasio halali (illegitimate). Watoto halali ni wale waliozaliwa wazazi wao wakiwa na ndoa au waliohalalishwa kwa wazazi wao kufunga ndoa baada ya kuwazaa watoto hao. Watoto wasio halali ni wale waliozaliwa wazazi wao wakiwa hawana ndoa na wakabaki vivyo hivyo. Mara nyingi watoto hawa huitwa watoto wa nje ya ndoa. 37 Zingatia kuwa Watoto wote bila kujali hadhi hizo hapo juu wana haki sawasawa. Hivyo mtoto awe wa halali au asiye halali anastahili haki zote kama mtoto. Tofauti ni kuwa sheria na mazingira ya kupata baadhi ya haki hizi ni tofauti. Zipo sheria zinazolenga kulinda haki za mtoto wa halali katika baadhi ya haki na zipo sheria zinazolenga kulinda haki za mtoto asiye halali. Watoto wote wanastahili haki zote sawasawa, wawe weupe, weusi, wa kike au wa kiume, waislamu au wakristo, halali au wasio halali. Haki za mtoto ni kwa watoto wote. TOTO A W WOTE W A N A DUNIANI H A K SAWA I MWEUPE MWEUSI MASKINI TAJIRI 38 SAWA MUISLAMU MKRISTO MSICHANA MVULANA SEHEMU YA KWANZA unapaswa kuwa sehemu ya sheria za Tanzania. Tanzania inatakiwa Haki za Mtoto Kimataifa ihakikishe watoto wake wanafaidi haki zote zilitotajwa ndani ya Jumuiya ya kimataifa imelipa mkataba huu wa haki za mtoto. kipaumbele suala la haki za watoto kwa kupitisha mkataba wa Haki zilizotajwa katika Mkataba kimataifa wa haki za mtoto. wa Haki za Mtoto Mkataba huu wa kimataifa umepitishwa na Baraza Kuu la Mkataba huu umefafanua haki za Umoja wa Mataifa mwaka 1989 mtoto katika kuishi, kulindwa, kufuatia tamko la haki za mtoto la kuendelea na kushiriki. mwaka 1959. Mkataba huu ulianza Imeelezwa kuwa“Mtoto kwa kutumika kisheria mwaka 1990 sababu za kutopevuka kimwili na baada ya nchi zaidi ya ishirini kiakili, anahitaji malezi maalum na kuuridhia. kulindwa, vikijumuisha ulinzi unaofaa kisheria kabla na baada Mkataba huu una Umuhimu Gani ya kuzaliwa”. Kwa mujibu wa Tanzania mkataba huu mtoto ni kila binadamu mwenye umri chini ya Tanzania ilitia saini mkataba wa miaka 18 labda, chini ya sheria Haki za Mtoto mwaka 1990 na inayotumika kwa mtoto huyo, umri ikauridhia mwaka 1991. Nchi wa utu uzima uwe umefikiwa inaporidhia mkataba inawajibika mapema. kutekeleza kikamilifu yote yaliyo ndani ya mkataba. Kwa mujibu wa Haki za Mtoto zilizoainishwa sheria za mikataba ya kimataifa katika Mkataba mkataba ulioridhiwa unapaswa uwe sehemu ya sheria za nchi Kila mtoto ana haki ya asili ya iliyouridhia. Kwa mantiki hii basi, kuishi, kusajiliwa na kupewa mkataba huu ni sehemu au jina mara tu anapozaliwa. 39 Kuishi na wazazi wake mradi hali hii ionekane inalingana na maslahi makuu ya mtoto. Kudumisha mawasiliano na wazazi wake wote wawili kama ametengana na mmojawapo. Kupata kwa kiwango kikubwa matunzo ya afya na tiba. Kupatiwa elimu. Nchi iliyotia saini mkataba ihakikishe inatoa elimu ya msingi bure na elimu hiyo iwe ni ya lazima kwa wote. Kunufaika na usalama wa jamii ikiwa ni pamoja na hifadhi. Kukutana na wengine na kujiunga au kuunda vyama. Kutoa maoni yake bila hofu na maoni hayo yazingatiwe katika suala lolote au utaratibu unaomuathiri. Kupata taarifa, kuyafanya mawazo na taarifa zifahamike, bila kujali mipaka. Nchi ihakikishe kuwa mtoto anapata taarifa na habari kutoka vyanzo mbali mbali na taarifa hizo ziwe na manufaa kwa mtoto kijamii na kiutamaduni. Kulindwa dhidi ya dhuluma na kupuuzwa na aina nyingine zozote za ukandamizaji. Kulindwa dhidi ya kufanyishwa kazi itakayoathiri afya, elimu au maendeleo yake. Kulindwa dhidi ya matumizi ya madawa ya kulevya. Kulindwa dhidi ya ukandamizwaji wa kijinsia na kutumiwa vibaya ikiwa ni pamoja na kuingizwa kwenye umalaya na kuhusishwa na maonyesho ya uchi. Kushirikishwa katika mapumziko, burudani na shughuli za utamaduni. 40 Watoto walemavu Mtoto mlemavu ana haki ya kupata matunzo maalum, elimu na mafunzo kumsaidia anufaike kikamilifu na kuishi maisha ya heshima ya utu na kufikia kujitegemea kwa kiwango kikubwa iwezekakavyo. Watoto wakimbizi Mtoto mkimbizi au mtoto anayetafuta hadhi ya ukimbizi ana haki ya kupatiwa hifadhi maalum. Nchi ikishiriana na mashirika yanayohusika na hifadhi hiyo ihakikishe mtoto mkimbizi 41 anahifadhiwa. Watoto walioathirika na mambo mbalimbali Watoto walioathirika na migogoro ya kijeshi, mateso au kutopatiwa matunzo, kutendwa vibaya au kukandamizwa wana haki ya kushughulikiwa vyema ili wahusishwe na kurejeshwa kwenye jamii. Watoto wanaokiuka sheria Mtoto anayekiuka sheria ana haki ya kuendeleza hali ya utoto; kujiona ana hadhi na thamani. Mtoto huyu ana haki y a kupatiwa uhakikisho wa msingi pamoja na msaada mwingine kwa ajili ya kujitetea. Muhimu kutekeleza haki zilizomo kwenye mkataba huu. Kuzingatia kikamilifu maslahi makuu ya mtoto katika hatua zote zinazomhusu mtoto. Kuhakikisha haki zilizomo kwenye mikataba zinajulikana kwa mapana sana miongoni mwa watu wazima na watoto. Swali Unapofundisha somo hili waulize washiriki maswali haya ya changamoto 1. Je wewe kama Mtanzania umewahi kabla ya kusoma hapa kufahamu juu ya mkataba huu wa mtoto? 2. Je unafikiri kuna umuhimu kwa watoto kufahamu mkataba huu? Nchi zilizouridhia Mkataba huu zinapaswa Kufanya lolote linalowezekana 3. Toa pendekezo namna mkataba huu unavyoweza kufahamika kwa watoto na watu wazima. 42 SEHEMU YA PILI Sera ya Haki za Mtoto Haki za Mtoto Tanzania Watoto wa Tanzania kama watoto wa ulimwengu wote wanapaswa kupewa haki zinazowastahili. Hivyo tutaangalia jinsi Tanzania ikiwa nchi iliyotia sahihi mkataba wa Haki za Mtoto, inavyompatia mtoto wa Kitanzania haki zake. Tutaangalia sheria za nchi zinazolenga kumpatia mtoto haki zake. Kuhusu hali halisi ya utekelezwaji wa sheria hizo mnaweza kuangalia katika mazingira yenu iwapo kweli watoto wanapatiwa haki hizo au la. Sera ni muongozo au miongozo inayoeleza kwa ujumla mambo fulani fulani yanavyopaswa kuwa. Mfano Sera ya Elimu inatoa muongozo juu ya elimu itolewe vipi, wapi na nani na ya aina gani. Hivyo kwenye suala la Haki za mtoto ni muhimu kuwepo sera. Chama cha Mapinduzi(CCM) kilitoa Sera ya Malezi ya Taifa kwa Watoto na Vijana Tanzania mwaka 1987. Haki za mtoto Tanzania zinapatikana katika sheria mbalimbali zinazogusa haki hizo. Mtoto Mdogo anayeuza Ice Cream wakati anapaswa kuwa Shule 43 Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971 Mtu anaweza kuoa au kuolewa akifikia umri wa miaka 18. Ila Sheria hii ina vipengele kadhaa msichana anaweza kuolewa akiwa vinavyompa mtoto haki. Sheria hii na umri chini ya miaka 18 kwa inawahusu watoto wale tu idhini ya mzazi lakini umri huo waliozaliwa kwenye ndoa au usiwe chini ya miaka 15. Mvulana waliohalalishwa na ndoa. Kwa anaweza kuoa chini ya miaka 18 mujibu wa sheria hii ni wajibu wa lakini si chini ya miaka 16 kwa idhini mwanamume kutunza watoto ya wazazi. Watoto wa umri wake kwa kuwapatia mahitaji yao usiopungua miaka 14 wa kike au muhimu na elimu. Wajibu huu kiume wanaweza kuoa au kuolewa unapaswa kutimizwa na kwa idhini ya Mahakama. mwanamume huyu hata kama haishi na wanawe. Wajibu huu Swali utamrudia mama wa watoto iwapo baba yao hana uwezo, au Unafikiri kuna sababu zozote amepotea kwa muda mrefu na za msingi za kuruhusu watoto hajulikani aliko au amefariki. wadogo kuoa au kuolewa? Je kuna sababu za kubagua Kukosa kumpatia mtoto haki hizo wasichana na wavulana? ni kosa la jinai. Katika sheria hii pia Kanuni za afya zinasemaje juu inaelezwa kuwa iwapo wazazi ya mtoto wa umri mdogo watatengana au kuachana, watoto kuzaa? wataishi pale ambapo patakuwa pazuri na manufaa kwa hali yao Sheria ya Watoto wa Nje ya Ndoa Aidha, sheria hii inatamka kuwa ni(Affiliation Ordinance) vyema mtoto wa umri chini ya miaka saba kuishi na mama yake Sheria hii imetungwa kulinda haki kwa maslahi makuu ya mtoto. za watoto waliozaliwa nje ya ndoa Sheria hii pia inataja umri ambao(illegitimate child). Ni sheria mtu anaweza kuoa au kuolewa. inayohusu matunzo na elimu ya 44 watoto hawa. Sheria hii inampa mama mwenye mtoto wa aina hii haki ya kudai matunzo toka kwa baba mtoto. Mama huyu anatakiwa kupeleka madai kwa kiapo Mahakamani ili kumtaja baba wa mtoto na kudai matunzo. Matunzo huanzia mama anapokuwa mjamzito. Zingatia Madai ya aina hii yanatakiwa yapelekwe Katika kipindi cha miezi 12 tangu azaliwe mtoto, au, Iwapo baba alianza kumtunza mtoto kisha akaacha, madai yapelekwe katika kipindi cha miezi 12 tangu aache kumtunza, au Iwapo baba mtoto alikuwa nje ya nchi madai yapelekwe katika kipindi cha miezi 12 tangu amerudi. kiasi cha Shs. 100/= kwa mwezi kama fedha za matunzo na elimu ya mtoto, au kiasi cha Shs. 15,000/ = kwa mkupuo mmoja kama fedha za matunzo na elimu hadi kufikia miaka 16. Mama mtoto akiolewa matunzo yatasimamishwa. Mtoto akifikia umri wa miaka 16 matunzo yatasimimishwa. Mahakama ikipewa sababu za kuridhisha matunzo yatasimimishwa mtoto akiwa na miaka 14. Sheria hii ilitungwa tangu mwaka 1949 na haijarekebishwa hadi leo. Swali Jadili mapungufu ya sheria hii na toa mapendekezo ya kurekebisha mapungufu hayo. 4. Sheria ya Elimu Na. 25 ya 1978 Mahakama ikiridhika na ushahidi Sheria hii inalinda haki ya mtoto ya wa mama huyo kuwa aliyetajwa kupatiwa elimu. Sheria inaeleza ndiye baba wa mtoto, mtu huyo wazi kuwa elimu ya msingi ni ya atatakiwa kumlipa mama mtoto lazima kwa watoto wote na 45 itatolewa bure. Kanuni zinazohusika na sheria hii zinahesabu kuwa ni kosa kwa mzazi atakayeacha kumwandikisha shule mtoto mwenye umri wa kwenda shule. Umri wa kwenda shule ni kuanzia miaka 7-11. Vile vile ni kosa kwa mzazi kutohakikisha kuwa mtoto wake anaendelea na shule hadi kufikia darasa la saba. Mtu yeyote atakayesababisha mtoto asiendelee na shule naye pia atatiwa hatiani. Ifahamike pia kuwa chini ya kanuni hizi utoro ni kosa la jinai. Hivyo basi mtoto mtoro au mzazi ambaye anasababisha mtoto wake awe mtoro wote wanaweza kushitakiwa kwa kosa la jinai. 5. Sheria ya Kazi ya Ajira Sura. 366 Katika sheria hii mtoto mwenye umri chini ya miaka 12 haruhusiwi kuajiriwa kabisa. Mtoto wa umri zaidi ya miaka 12 lakini chini ya miaka 17 anaweza kupewa ajira kwa masharti maalum; Kwamba ajira iwe kwa mshahara wa kutwa. Awe anarejea nyumbani kila siku. Mzazi au mlezi wake awe ameridhia. Mtoto asifanye kazi kwenye migodi au viwandani. Asipewe kazi zitakazoathiri afya yake au elimu yake. Kanuni hii ya mtoto kukatishwa masomo inahusu watoto wa shule za msingi tu na sio wa shule za sekondari. Swali Je sheria hii inatekelezwa vipi katika sehemu mnakoishi? 6. Sheria ya Watoto na Vijana Wadogo- Sura 13 Sheria hii inataja haki za watoto wa mitaani. Ni wajibu wa Afisa Ustawi wa Jamii au Polisi kuwachukua watoto wowote wanaonekana mitaani bila shughuli maalum. Baada 46 ya kuwachukua watoto hawa za mtoto. Imetaja makosa wanapaswa kuwahifadhi kwa ambayo mtu akipatikana na nia ya kuwarejesha kwa hatia huadhibiwa nayo ni:wazazi au walezi wao. Kumnyima mtoto mahitaji yake muhimu, kama Watoto wahalifu wanatakiwa chakula, malazi n.k. watengwe na wahalifu ambao Kutoa mimba au ni watu wazima. Watoto kusababisha mimba itoke. wawekwe kwenye rumande za Kusababisha mtoto watoto na wanapohukumiwa asizaliwe hai kwa uzembe. wasipelekwe jela za watu Kudhuru maisha ya mtoto wazima, kwa vile nia ni aliyezaliwa. kuwarekebisha ili wawe raia Kumwonea kwa kumpiga au wema. Wale ambao kumuumiza mtoto. hawajamaliza shule Kumnajisi mtoto wapelekwe shule iliyoteuliwa Kumzini mtoto wa kike kwa ajili hiyo. Kwa bahati mwenye umri chini ya miaka mbaya hadi sasa shule kama 18 hiyo ipo moja tu huko Mbeya, Kumsababisha mtoto na inahudumia watoto wa asiendelee na masomo, kiume tu. Rumande za watoto mfano kumpa mimba. ni nne tu nchi nzima, hivyo Kumbaka mtoto watoto wengi wahalifu Kumshirikisha mtoto kwenye wanachanganywa na wahalifu vitendo viovu, kama wizi, ambao ni watu wazima. mauaji n.k. Kumpa mimba mtoto wa 7. Sheria ya Kanuni za Adhabu, shule. Sura 16(Penal Code) Sheria hii imejaribu kumlinda mtoto Sheria hii ina vifungu dhidi ya kuonewa na kunyanyaswa mbalimbali vinavyolinda haki lakini ilikuwa haikukabili mambo 47 yote muhimu. Hivi karibuni imepitishwa sheria ambayo inajaribu kuziba mapengo ya sheria hiyo nayo inaitwa Sheria ya Makosa ya Kujamiiana ya mwaka 1998. Sheria hii ilianza kutumika tarehe 1 Julai 1998. Sheria hii inamlinda mtoto katika maeneo ya kudhalilishwa na hata mila ya kukeketa watoto wa kike imefanywa kuwa kosa, la jinai. Sheria kama hii pia imepitishwa kule Tanzania Visiwani(Zanzibar). makosa kwa yeyote atakayetenda dhidi ya mtoto: Udhalilishaji watoto kijinsia Utumiaji potofu wa watoto kijinsia Kukeketa watoto wa kike Kuingiza watoto katika masuala ya umalaya. Mwanaume kumwingilia kimwili mtoto wa kike ambaye ni ndugu wa karibu, kama binti yake, mjukuu wake au mdogo wake. Madhumuni ya sheria hii ya makosa ya kujamiiana ni kuingiza katika sheria za jinai za Tanzania masharti maalum kisheria kuhusiana na makosa hayo ya kujamiiana au yanayowahusu watoto. Nia ni kuimarisha azma ya taifa ya kuhifadhi stahili za watoto na wanawake kuhusiana na haki binafsi za uzima, heshima na uhuru. Mtoto analindwa na Sheria hii mpya katika vifungu vilivyorekebisha Sheria ya Kanuni za Adhabu na katika vifungu vipya vilivyowekwa, mambo yafuatayo ni Ukatili kwa watoto- mtu aliye katika uangalizi wa mtoto akimtesa, kumtelekeza au kutomjali au akasababisha akeketwe au kutendewa maovu na akisababisha mtoto huyo kupata madhara kiafya au vinginevyo atakuwa amekosa chini ya sheria hii na akipatikana na hatia atapewa kifungo si chini ya miaka mitano na kisichozidi miaka kumi na tano au faini ya shilingi laki tatu au vyote kwa pamoja na kifungo. 48 Sheria hii pia inawezesha kumchukua mtoto ambaye ushahidi wa watoto si wake na kumfanya mtoto kupokelewa mahakamani wake kisheria. Mtoto huyu hata kama hakuna ushahidi anapochukuliwa na mzazi mwingine unaounga mkono huyu wa kupanga anapata ushahidi huo. hadhi na haki sawa na mtoto aliyezaliwa kwenye Sheria hii pia imeelekeza ndoa- kama vile haki ya kuwa endapo mtoto kutunzwa, kuelimishwa anashitakiwa pamoja na hata kurithi mali ya wazazi mtu mzima kwa makosa ya hao. kijinsia, kesi dhidi ya mtoto isikilizwe faragha na Mtu ataruhusiwa kumfanya ushahidi wake vile vile. mtoto kuwa wake iwapo atathibitisha kuwa anao Sura ya TANO ya Kitabu uwezo wa kumtunza mtoto hiki inafafanua zaidi sheria huyo kama inavyostahili. ya makosa ya kujamiiana Mwanaume asiye na mke na haki za mtoto. haruhusiwi kupanga mtoto wa kike. Swali Watoto wanaponyanyaswa Taja mila zinazomkosesha namna hii unachukua jukumu mtoto haki yake na ambazo gani? Unatazama tu hazikutajwa katika sheria. Muhimu 8. Sheria ya(Kupanga) Kulea Mtoto(Adoption Baada ya kuangalia sheria hizi Ordianance) za kulinda haki za mtoto ni muhimu kuona iwapo Sheria hii inaruhusu mtu zinatekelezwa kama zilivyo. 49 Kwa kuwa utekelezaji unaweza kutofautiana mahali na mahali ni muhimu baada ya somo kujadili jinsi haki hizi zinavyotekelezwa katika sehemu mnayoishi au mnayoifahamu. Pia zipo mila na desturi nyingi zinazomkosesha mtoto haki zake. Hizi ni tofauti kila mahali. Hivyo ni muhimu zijadiliwe mila za sehemu mliyopo kuona ni zipi hazimpi mtoto haki na njia zipi zitumike ili mtoto apate haki zake. Wajibu wa Kumpatia Mtoto Haki (a) Wazazi/Walezi Mtu wa kwanza kumpa mtoto haki zake ni mzazi au mlezi wake. Mzazi hupanga au husababisha mtoto azaliwe. Hivyo haki ya mtoto ya kuishi iko mikononi mwa wazazi au walezi. Ni vizuri na sahihi mzazi kupata idadi ya watoto atakaomudu kuwatunza kulingana na uwezo Watoto wanaponyanyaswa namna hii unachukua jukumu gani? Unatazama tu? 50 wake. Ni kosa kupata watoto kisha ushindwe kuwapatia mahitaji yao muhimu pamoja na elimu. Haki ya mtoto kuishi na wazazi iko mikononi mwa wazazi. Wazazi wakitengana au kuachana wanamkosesha mtoto haki ya kuishi na wazazi wake wote. Mtu akiamua kupata mtoto nje ya ndoa pia anamkosesha mtoto haki ya kuishi na wazazi wake wote iwapo wazazi hawa hawataishi pamoja. hatua za kisheria wanapokiuka wajibu na pia iwapatie wazazi wao au kuwapatia nyenzo za kutimiza wajibu wao. Serikali ina wajibu wa kuyapa masuala ya watoto kipaumbele. Bajeti za elimu, afya, maji safi n.k. zikuzwe badala ya kudidimizwa wakati bajeti za jeshi na hata kulipa madeni ya nje zinakuzwa siku hadi siku. (c) Jamii (b) Serikali Serikali nayo ina wajibu wa kumpatia mtoto haki. Serikali kwa kutunga sheria za kulinda haki za mtoto inatimiza wajibu huo. Pia inawajibika kuhakikisha kuwa sheria hizo zinafanya kazi kama zilivyokusudiwa. Mfano haki ya elimu. Inabidi Serikali ihakikishe kuwa kuna shule, walimu, vifaa na mtaala wa kufaa kumwelimisha mtoto. Na pia ihakikishe kuwa watoto wanaelimika kutokana na elimu iliyokusudiwa. Pia Serikali iwachukulie wazazi au walezi Jamii inayomzunguka mtoto nayo inawajibika kumpatia mtoto haki nyingine zinazotokana na jamii. Mfano, jamii inaweza kumsuta au kumkosoa mzazi anayezembea wajibu wa kulea watoto kwa ulevi au tabia ya uvivu. Jamii inaweza kuwasaidia wazazi kuhakikisha mtoto mtoro anahudhuria shule. Jamii isikubali kuona mtoto anaonewa au kunyanyaswa n.k. Unaweza kuorodhesha njia nyingine jamii inavyoweza kumpatia mtoto haki zake. 51 HITIMISHO Katika somo hili la haki za mtoto tumejadili mtoto ni nani kisheria. Nadhani umegundua tofauti ya maana ya mtoto kama ulivyokuwa unafahamu au inavyofahamika kwa kawaida na maana ya mtoto kisheria. Pia tumeona hadhi ya mtoto ilivyo kisheria- kuwa mtoto anapata hadhi kulingana na hali ya ndoa ya wazazi wake. Baada ya kuona maana na hadhi tuliangalia jinsi jumuiya ya kimataifa ilivyompatia mtoto haki zake kupitia mkataba wa kimataifa wa Haki za Mtoto. Mkataba huu tumeona umegusa watoto wa aina zote na haki karibu zote anazoweza kupewa mtoto. Hatimaye tumeona jinsi Tanzania inavyojaribu kulinda haki za mtoto na kuwa sasa ipo sera ya mtoto. Lengo la kujifunza somo hili ni kuzifahamu haki za mtoto na kuona iwapo zinatekelezwa katika jamii tunayoishi. Vile vile inafaa kufikiria njia za kufanya ili watoto wote wapate haki zao. Hii ni changamoto kwa yeyote atakayetumia kiongozi hiki kubuni mbinu za kueneza elimu ya haki za mtoto na jinsi ya kuweza kumpatia mtoto haki hizo. Anza sasa. Maswali 1. Ni mambo gani yaliyotajwa katika haki za mtoto za kimataifa ambayo hayapo katika sheria za mtoto wa Tanzania? 2. Pendekeza njia tatu zinazoweza kusaidia katika kuhakikisha mtoto anapata haki ya kupatiwa matunzo muhimu. 3. Serikali ifanye nini kuondoa tatizo la watoto wa mitaani na watoto wanaozaliwa nje ya ndoa? 4. Jamii na serikali ifanye mbinu gani kukomesha ajira za watoto hasa katika sehemu za migodini, viwandani n.k. 5. Tatizo la mimba za utotoni likabiliwe vipi? 52 SURA YA NNE SHERIA ZA MIRATHI 53 UTANGULIZI S ura hii ya nne itazungumzia aina tatu za Sheria za Mirathi kama zinavyotumika hapa Tanzania. Sheria za Kimila za mirathi Sheria za Mirathi za kidini mfano, Sheria ya Kiislamu Sheria ya Kiserikali Tofauti na Sheria ya Ndoa, mambo yanayohusu mirathi hayapo katika sheria moja, ingawa hiyo ni sheria nyeti na ina mguso mkubwa katika jamii. Hivyo kunakuwa na utata katika kuchagua sheria ipi itumike. Sura hii itaonyesha mifano halisi ya kesi na jinsi mwanamke anavyonyimwa haki katika sheria hizi na hasa Sheria za Kimila. Tutajadili pia wosia ni nini, jinsi na namna ya kuandika wosia, pamoja na taratibu za kufungua mirathi, wosia ukiwepo au usipokuwepo. Hii ni changamoto kwa wasomaji ili mzielewe vizuri sheria hizi muweze kuchambua mapungufu yaliyopo. Hii itatusaidia katika kuhamasisha wenzetu, pia wabunge wetu na vyombo vinavyohusika ili hatimaye sheria hizi zibadilishwe. SEHEMU YA KWANZA Aina za Sheria Sheria za mirathi zitumikazo Tanzania zimegawanyika katika sehemu kuu tatu:1. Sheria za Kimila 2. Sheria za kidini kama sheria ya Kiislamu. 3. Sheria ya Kiserikali iitwayo “Indian Succession Act” iliyopitishwa huko India mwaka 1865. Kabla ya kuzifafanua sheria hizi ni vyema kuelewa maneno muhimu yafuatayo: Desturi ni nini? Desturi ni tabia ya kikundi au kabila inayofuatwa, kukubalika na kutambulika na jamii kwa muda 54 mrefu, ambayo baadaye mtu akiivunja anakuwa amekiuka mpangilio. Mila ni nini? Mila ni desturi zilizoshamiri(au zilizotumika kwa muda mrefu) na kukubalika katika jamii ambazo zikipata nguvu ya sheria huitwa sheria za kimila. Ni MUHIMU kutambua kwamba MILA hubadilika kufuata wakati na hali ya maisha ya watu wanavyoishi na kubadilika. Swali Sheria za kimila katika mirathi yao. LAKINI endapo itadhihirika kuwa mzawa huyu aliacha kabisa mila na desturi za kabila lake MAHAKAMA inaweza kutumia Sheria ya kiserikali au sheria ya Kiislamu kama marehemu alikuwa Muislamu katika kusimamia mirathi yake. Sheria za kimila zimegawanyika katika sehemu mbili:1. Mkondo wa (Patrilineal) Baba Makabila ambayo hurithi kufuata mkondo wa baba. Je katika jamii unayoishi mila zipi zimebadilika? Sheria hizi Zinavyotumika Sheria za Kimila Watumiaji wa sheria za kimila ni Watanzania wote wazawa, wasio na asili ya Kiasia, Kizungu au Kisomali ambao hupaswa kutumia Sheria za Mirathi za Mila tulizonazo hapa Tanzania na ambazo tayari zimewekwa katika maandishi ni sheria za mila zilizokusanywa toka kwenye makabila yanayorithi kufuata ukoo upande wa baba. Sheria hizi zimo katika Kanuni za Urithi TANGAZO LA SERIKALI NAMBA 436 1963. 55 Sheria hizo hutumika kwa mzawa iwapo:(i) Ni mwenyeji wa sehemu hiyo. (ii) Mila hiyo iwe inatumika katika jumuiya hiyo na siyo mila ambayo imeachwa(yaani muda mrefu haitumiki). 2. Mkondo wa (Matrilineal) Mama Urithi umegawanywa katika madaraja matatu. Daraja la Kwanza Kwa kawaida ni mtoto wa kiume wa kwanza wa ndoa,(kama ni mwenye mitala ni mtoto wa mke mkubwa wa ndoa) ambaye hurithi sehemu kubwa kuliko wote. Hizi ni sheria za kimila ambazo Daraja la Pili zinayahusu makabila ambayo hurithi kupitia upande au ukoo Daraja hili linajumuisha watoto wa mama. Kwa bahati mbaya wote wa kiume waliosalia, ambao sheria hizo za kimila hurithi sehemu kubwa kuliko hazijawekwa katika maandishi watoto wa kike ambao ni daraja la kama ilivyo kwa zile sheria za tatu. urithi kupitia ukoo wa baba. Hivyo katika mjadala wetu Daraja la Tatu tutaongelea zaidi zile sheria ambazo ziko katika lile Daraja la tatu ni watoto wote wa Tangazo la Serikali Na. 436 la kike bila kujali umri wao au nafasi mwaka 1963. yao ya kuzaliwa. Hawa hupata sehemu ndogo kuliko wote. Kama Urithi katika Sheria za Mila hakuna watoto wa kiume, watoto wa kike hupewa urithi zaidi. Kwa kifupi kanuni zinasema kuwa kama marehemu ameacha watoto, Katika kanuni hizo imewekwa hawa ndio watakaorithi mali ya bayana kwamba watoto wa kike marehemu. hawaruhusiwi kurithi ardhi ya ukoo 56 ila wanaruhusiwa kuitumia tu mpaka watakapoolewa au kufa. Hawana mamlaka ya kuiuza. Pamoja na kanuni hii, Mahakama Kuu ya Tanzania(Mwanza) 1989, katika kesi ya Bernado Ephraim dhdi ya Holaria Pastory ilitamka kuwa Sheria hiyo inayobagua watoto wa kike kurithi ardhi ya ukoo ni batili. Watoto waliozaliwa nje ya Ndoa Watoto waliozaliwa nje ya ndoa hawaruhusiwi kurithi, wanaweza kurithi tu kama wamehalalishwa kwa kufuata desturi au taratibu zinazojulikana na kutambulika katika jamii hiyo. Mjane Mke hakutajwa katika madaraja ya urithi(ingawa ni wazi kwamba mke ndiye mvuja jasho zaidi katika familia). Kwa mujibu wa sheria hiyo ya kimila, mjane inabidi aishi kwa kutegemea watoto wake ambao watarithi mali ya mume wake. Mjane ananyanyaswa Swali Je, kama mjane hakuwa na watoto? Iwapo marehemu hakuacha watoto wala wajukuu, kaka na dada zake waliochangia baba na mama ndio warithi. Kaka wa kwanza atakuwa ni daraja la kwanza ambaye atapata sehemu kubwa. Kaka waliobaki wanakuwa daraja la pili ambao watapata sehemu kubwa kuliko daraja la tatu, na dada wote wanakuwa katika daraja la tatu. Ikiwa marehemu hakuacha kaka wala dada, basi mali hiyo yaweza 57 kurithiwa na watoto wa kaka au dada zake kama wapo. Kama wote hawapo, baba wa marehemu anaweza akarithi. Na iwapo baba hayupo, baba wadogo watarithi na kama hawapo shangazi atarithi, kama naye hayupo ndugu wengine watarithi. Kazi za warithi siku zote inasemekana ni kutunza mjane/ wajane na kuwagawia asilimia kidogo sana ya mali inayoondosheka. HATA HIVYO katika jamii yetu hili halitendeki. Mjane hatunzwi na hudhulumiwa hata hicho kidogo ambacho sheria hiyo inasema agawiwe. Mjane anarithi ardhi? Kama ilivyo kwa watoto wa kike, mke harithi ardhi ya ukoo ila hutumia tu mpaka afe au aolewe tena. ANAPASWA kutunzwa na watoto wake, au kurithiwa kwa kuolewa na mmoja wa ndugu zake marehemu(kama atataka). HATA HIVYO, kuolewa tena katika ukoo huo haimhalalishi yeye kurithi ardhi ya ukoo. Wanawake hawarithi ardhi ya ukoo ila huruhusiwa kuitumia 58 Hata hivyo mjane ana haki ya kuishi mahali popote anapotaka na anapaswa kupewa sehemu ya mali kidogo ya vitu vinavyoondosheka. Maoni Mila ya kurithiwa kwa kuolewa na mmoja wa ndugu za marehemu NI MILA POTOFU, MBAYA NA IMEPITWA NA WAKATI inafaa iachwe hasa ukizingatia magonjwa yaliyoko sasa hivi kama UKIMWI. Sheria za Kiislamu Ni vyema kutoa ufafanuzi kwamba:- Watanzania wote ambao itadhihirika kuwa wameacha mila na desturi zao na ambao Uislamu huwaongoza katika vipengele vyote vya maisha yao, pamoja na watu wengine ambao si wazawa lakini ni Waislamu, HUPASWA KUTUMIA SHERIA YA KIISLAMU KATIKA MIRATHI YAO. Mjane/Wajane kama kuna watoto anarithi moja ya nane(1/8) ya mali ya marehemu Mjane/Wajane kama hakuna watoto anarithi robo(1/4) ya mali. Mali iliyosalia hugawiwa mafungu matatu. Wanaume hupata mafungu mawili. Wanawake hupata fungu moja. Mtu ambaye sio Muislamu hawezi kurithi mali ya Muislamu. URITHI unakuwaje katika Sheria ya Kiislamu? 59 Katika sheria ya Kiislamu, Muhimu kuelewa kwamba marehemu anaruhusiwa kuacha wosia kwa theluthi moja tu(1/3) ya Sio rahisi kuihakikishia Mahakama mali yake kwa amtakaye. Theluthi kuwa marehemu aliacha mila na mbili(2/3) ya mali yake lazima desturi za kabila lake, hasa kama ifuate Sheria za Kiislamu yaani aliishi vijijini. Hivyo mara nyingi irithiwe na warithi wake. zaidi Sheria ya Kimila hutumika kugawa mirathi ya marehemu Sheria ya Kiserikali(Indian mzawa. Succession Act 1865) Kumbuka Ni vyema kufafanua kuwa:- Sheria hii hutumika kwa Watanzania Kama kuna wosia, mali hurithiwa walioacha mila na desturi zao na kwa kuzingatia maelekezo ya ambao si Waislamu pamoja na wosia. watu wengine ambao si wazawa wala si Waislamu. Kesi za Mirathi zifunguliwe wapi? Sheria hii inasema iwapo Ni vizuri sana kuelewa suala hili. marehemu ameacha mjane na Kesi zinazohusu kugawa mali ya watoto: marehemu kwa Sheria za Kimila, lazima zifunguliwe Mahakama za 1/3 ya mali hurithiwa na mjane Mwanzo na sio Mahakama 2/3 hugawiwa sawa sawa kwa nyingine zozote. Mahakama za watoto wote. Kama hakuna watoto Wilaya/Hakimu Mkazi na mali hugawiwa ifuatavyo. Mahakama Kuu hushughulikia tu mirathi ya marehemu pale ambapo 1/2 hupata mjane Sheria ya Kiserikali hutumika. 1/2 hupata ndugu wa(Angalia: Sheria ya Mahakama za marehemu, hii ni pamoja na Mahakimu Namba 2/1984 Vifungu wazazi wa marehemu 18(1) na 63(ii). 60 Mjane anaweza Kuchagua mirathi hiyo. Kwa wastani wajane Sheria? wachache sana wameweza Hili pia ni suala nyeti kulisisitiza. kuthibitisha hivyo. Mfano hai ni wa Kwa kawaida sheria zinazotumika kesi ya Re Innocent Mbilinyi kugawa mali ya marehemu (Marehemu) 1969 H.C.D. NA 83. zimeshapangwa tayari na sheria. Mjane mmoja Mchaga aliyeolewa Sheria ya Kimila kwa wazawa, na Mngoni alifaulu kuthibitishia sheria ya Kiislamu kwa Waislamu Mahakama kwamba walifunga n.k. Hata hivyo kuna wakati ndoa yao ya Kikristo na walikuwa ambapo hutokea utata wa sheria wanaishi Dar es Salaam. ipi itumike hasa pale ambapo Marehemu aliondoka Songea marehemu alikuwa ni mmoja wa akiwa na miaka kama saba hivi, na jamii ya kabila fulani na papo hapo alisoma na kupata shahada yake alikuwa ni muislamu. Pale ya kwanza. Mara chache sana inapotokea mgongano wa sheria walitembelea Songea au Moshi. hizi mbili au na sheria nyinginezo Hivyo waliachana na mila na za mirathi uchaguzi wa sheria gani tamaduni za makabila yao. Hivyo itumike hazingatia mambo mawili mjane alifaulu kuithibitishia yafuatayo: mahakama kuwa sheria ilipaswa kutumika katika mirathi hiyo ni (a) Maisha aliyokuwa akiishi sheria ya Kiserikali na siyo sheria marehemu. ya kimila. (b) Nia ya marehemu. Hata hivyo ISISITIZWE kuwa kwa Kama mjane anaona kwamba watu wanaoishi vijijini ni vigumu marehemu aliacha na kuasi kabisa kuthibitisha kuwa marehemu aliasi desturi na mila zake, inabidi mila zake hali alikuwa akiishi kijijini aithibitishie mahakama. Kama na kushirikiana na wanakijiji katika atafaulu, basi Mahakama itaamuru shughuli mbalimbali za mila zao sheria nyingine ya mirathi dhidi ya hata kama yeye mwenyewe ile sheria ya mila itumike katika haamini na hafuati. 61 Swali Mahakama inakubaliana na upande wa mrufani kwamba Je sheria za mila za mirathi kutofautisha mwanamke na zinakidhi hoja ya wimbi hili la mwanamume ni ubaguzi na mageuzi ya siasa na maisha ya inamnyanyasa mwanamke, jamii na uchumi unaobadilika? Mahakama haina nguvu kupinga Sheria za Mila. Mila hizi zinapaswa Toa maoni yako kubadilishwa na wananchi wenyewe. Kesi ya Felista Mifano ya Maamuzi ya Kesi Ishekanyoro dhidi Martin Banyika 1968 H.C.D.112 pia Mahakimu wanasema kwamba, inazungumzia mirathi. ikiwa sheria hii ya kimila inambagua mwanamke, wananchi Maelezo: Felista alikuwa mke wa wenyewe wanapaswa kupinga na Banyika, Martin alikuwa mtoto wa kusema kwamba ni mbaya na Banyika kwa mke mwingine ambao haifai kwa kizazi hiki na kijacho. walikuwa wameachana naye kabla WANASISTIZA kuwa, sio mtu ya kumuoa Felista mwaka 1954. binafsi au kikundi cha watu Banyika alifariki mwaka 1963 wachache ndiyo wafanye hivyo bali miaka tisa baada ya ndoa yao na jumuiya nzima iipinge sheria hii na Felista. Baada ya miezi sita Felista wawasukume wabunge wao alifukuzwa kwenye nyumba na walifikishe suala hili bungeni ili shamba. sheria hii ibadilishwe.(Hii imenukuliwa kutoka kweye Kesi ya Hukumu Marko Kajubi dhidi ya Kualanima Kabali EACA 34-39. Mheshimiwa Jaji Seaton alitoa Katika kesi ya Bi Verdiana uamuzi kwamba“katika aya ya 77 Kyabuje na wengine dhidi ya ya Sheria ya Hali za Watu, mjane Gregory Kyabuje Jaji Hamlyn hana sehemu yoyote ya urithi wa alisema kwamba, ingawa marehemu mumewe ila anaweza 62 akapata sehemu ndogo ya mali inayoondosheka na kutumia shamba mpaka aolewe au afe na kupata sehemu ya mazao anayolima”. Kesi zinazoamuliwa kwa Kufuata Katiba Katiba ya Nchi inasema kwamba, binadamu wote ni sawa. Kwa hiyo majaji wengine wamejaribu kupinga sheria za ubaguzi za mirathi kwa kutumia Katiba ya Nchi. Wameweza kufafanua na kupambanua mambo kwa kina na kwa undani na kutoa hukumu zinazolenga kwenye usawa wa binadamu. Kwa mfano katika kesi ya Abdalla Salim dhidi ya Ramadhani(1968) H.C.D 129 Mheshimiwa aliyekuwa Jaji Mkuu Georges alitamka kwamba:- Mahakama haikusudii kuingilia mila za kabila lolote hapa Tanzania, isipokuwa madhumuni yake ni kuhakikisha mila hazitumiki kumbagua mtu yeyote. MJANE Hana Haki?? MILA....Mwanamke harithi Ardhi ya Ukoo KATIBA... Hakuna Ubaguzi!! Haki Sawa 63 Maswali ya Kujadili katika Vikundi (1) Unapofiwa na mume au mke ni mambo gani muhimu ambayo ungependa ufanyiwe/ usifanyiwe au asifanyiwe mjane uliyemuacha? (2) Sheria za kimila za mirathi katika sehemu unayotoka ni zipi? Unazionaje? Je, unakubaliana nazo? Zipi nzuri za kuendeleza na zipi za kuacha. SEHEMU YA PILI Wosia angefurahi kuona kuwa mke wake anaambulia patupu au hata kufukuzwa katika nyumba walimokuwa wanaishi wote au waliyojenga kwa pamoja baada ya mume kufariki. Wanaume wengi walishituka walipoelewa kuwa hali ya sheria ilivyo inaweza kutokea wake zao na watoto kupata taabu baada ya kifo chao. Pamoja na mwito wa kubadili sheria suluhisho la mara moja ni kuandika wosia ambao utatambuliwa na kukubalika kisheria. Kwa kuandika wosia mtu ana uhuru wa kuwasia mali yake kwa wale ambao ni muhimu kwake, ambao mara zote itakuwa ni familia yake. Kidokezo Wosia ni nini? Unapoziangalia sheria za mirathi za nchi hii utaona kuwa upo Neno hili Wosia lina maana umuhimu wa jamii kujenga tabia ya zifuatazo: kuandika wosia. Katika sheria ya mirathi inayotumika sana kwa(a) Ni maandishi au maneno wananchi wengi(Sheria ya mirathi anayotamka mtu akielezea ya kimila) kuna ubaguzi wa wazi jinsi mazishi yake wazi wa wanawake na watoto wa yatakavyokuwa, anaweza kike. Si ukweli kuwa mwanamume kuelezea mahali atakapozikwa aliyechuma mali na mke wake n.k. 64 (b) Ni namna mali za mtu mashahidi ambao huchaguliwa na aliyeandika wosia zitakavyo mwenye kutoa wosia. Ni muhimu gawanywa kwa warithi, rafiki kwa mke au wake wa marehemu au marafiki baada ya kifo kushuhudia wosia wa mume wake/ chake. wao. Mashahidi wote wanatakiwa washuhudie kwa wakati mmoja. Sheria za mirathi hutaja mambo Warithi hawapaswi kuwa muhimu ya kufuata katika kuandika mashahidi, iwapo wamekuwa wosia. Zipo taratibu za kuandika mashahidi wosia huo utakuwa ni wosia katika kila sheria ya mirathi. batili, yaani utakosa nguvu za kisheria. Wosia ni siri (a) Wosia katika Sheria za Kimila itakayofichuliwa mwosia anapofariki. Sheria za Wosia zimo katika jedwali la 3 la sheria iitwayo“The Wosia wa Maneno ya Mdomo Local Customary Law” (Declaration) No. 4 Order, 1963. Wosia huu unapaswa Sheria hii inaeleza kuwa wosia kushuhudiwa na mashahidi maana yake ni kauli inayotolewa na wasiopungua wanne. Watu wawili mtu wakati wa uhai wake kwa hiari kati ya mashahidi hao wawe ni wa yake kuonyesha nia yake jinsi gani ukoo wa huyo mwosia; na wawili angependa mali yake igawanywe wanaweza kuwa watu baki nje ya baada ya kufa kwake. ukoo wa mwosia. Wosia huo waweza kufutwa kwa kutoa wosia Wosia upo wa aina mbili. Wosia wa mwingine wa mdomo au kwa maneno na wosia wa kuandika. kutoa wosia wa maandishi. Mtu Kwa aina yoyote ya wosia asiyejua kusoma na kuandika anayeweza kuandika au kusema ni ndiye anayeweza kutoa wosia wa mtu mzima mwenye umri mdomo na akipenda kuandikiwa usiopungua miaka 18 na mwenye vile vile inaruhusiwa. akili timamu. Wosia lazima uwe na 65 Wosia wa Maandishi Kwa mwosia anayejua kusoma na kuandika ni lazima wosia wake uwe katika maandishi. Wosia huu unatakiwa uandikwe kwa kalamu ya wino au kalamu isiyofutika au upigwe chapa. Tarehe ya wosia ni muhimu hivyo iandikwe. Kwa mwosia anayejua kuandika na kusoma wanahitajika mashahidi wawili tu. Kwa mwosia asiyejua kuandika au kusoma mashahidi wake wawe wanne na wajue kusoma na kuandika. Nimekuja Kwako Wakili ili uweze kuniandikia Wosia washuhudie sahihi au alama ya mwosia na wenyewe waweke sahihi zao kwenye wosia. Mwosia atataja mtu au watu ambao anapenda wasimamie ugawaji wa mali baada ya kifo chake. Mambo ya Kuzingatia Mwenye kuacha wosia anategemewa kuwapa urithi watu wote wanaojulikana kisheria na wengine anaopenda mwenyewe. 1. Mwosia anaweza kumnyima urithi, mrithi halali iwapo tu mrithi, amemkosea mambo mazito kama: (a) Mrithi amezini na mke wa mwosia. (b) Mrithi amejaribu kumuua, kumshambulia, au kumdhuru vibaya mwosia(au kumtendea mama wa mwosia mambo Mwandishi wa wosia(Mwosia) haya yaliyotajwa). aweke sahihi katika wosia. Kama mwosia hajui kusoma na kuandika (c) Mrithi bila sababu ya haki, aweke alama ya kidole gumba cha hakumtunza mwosia wakati wa mkono wa kulia. Mashahidi shida na njaa au maradhi. 66 2. Mtu anaweza kumrithisha rafiki Wosia huu hauna ulazima wa yake vitu au vyombo vyake kuandikwa kwani hata wa mdomo alivyokuwa akivitumia unakubalika. Hata kama wosia mwenyewe au sehemu ya mali umeandikwa, sahihi ya mwenye yake. Lakini fungu la rafiki kuandika wosia na sahihi za lisizidi la kila mrithi halisi. mashahidi si muhimu. Cha muhimu ni nia ya mwenye kutoa Wosia katika Sheria za wosia Kiserikali Mahali pa Kutunzia Wosia Hakuna tofauti kubwa na wosia wa kimila, ila wosia huu unatarajiwa Wosia unaweza kuhifadhiwa uwe katika maandishi. Hivyo sehemu yoyote yenye usalama vipengele vyote vya wosia wa kuepusha uwezekano wa maandishi vinatumika. Mwosia kufanyiwa mabadiliko na mtu asiye anaweza kufuta au kuongeza mwosia. Hivyo wosia waweza maneno mengine kwa kuandika kutunzwa Benki, Kanisani n.k. maandishi mengine ambayo itabidi yazingatie mashariti ya uandikaji Kwa hali yoyote ile ni muhimu mtu wa wosia. mzima aliyefanikiwa kuwa na mali kuandika wosia. Umefika wakati Wosia katika Sheria za wa kuondokana na fikra potofu Kiislamu kuwa mtu akiandika wosia anajichuria kufa. Vifo vipo na sasa Anayetoa wosia kwa mujibu wa hivi hali ni mbaya sana kwani watu sheria hii hawezi kuusia mali yake wengi wanakufa kwa ajali, yote. Kisheria anaruhusiwa kuusia magonjwa kama shinikizo la damu, 1/3 ya mali yake. Sehemu 2/3 ni ukimwi, uti wa mgongo na lazima ifuate taratibu za Kiislamu kadhalika. Tabia ya kuandika za ugawaji mali ya urithi. wosia ni muhimu kwa mtu anayejali familia yake ambayo anaweza 67 kuiachia wosia unaotambulika kisheria. Taratibu ni kama zilivyoelezwa hapo juu, kulingana na sheria zinazohusika, vinginevyo utapingwa mahakamani. Tujenge tabia ya kuandika wosia. Taratibu za Kufungua Mirathi (I) Wosia Ukiwepo Mambo yafuatayo sharti yazingatiwe katika kufungua mirathi:kama hakuna tatizo lolote msimamizi hukabidhiwa barua ya kuhalalisha kugawa urithi na kulipa madeni. 4. Msimamizi hugawa mali kufuata wosia. 5. Baada ya ugawaji msimamizi hurejesha nakala ya ugawaji mali mahakamani na mahakama hufunga jalada. Kumbuka (Eleza kwa yafuatayo:-) kituo mambo 1. Mtu akifa, kifo kiandikishwe kwa Mkuu wa Wilaya katika muda wa siku 30. 2. Msimamizi akafungue mirathi mahakamani akiwa na Wosia ulioachwa Cheti cha kifo. 3. Mahakama hutoa tangazo la mirathi kwa muda wa siku 90 Wengi hawafanyi hivi na ni makosa kisheria na unaweza kushitakiwa. Barua ya kuomba usimamizi wa Mirathi(sisitiza) lazima itaje:Hali na aina za mali za marehemu Majina na anwani za wasimamizi. Maskani ya marehemu (muhimu: mirathi hufunguliwa kufuatana na maskani yake) Viambatanisho:- Cheti cha kifo. Wosia. 68 (II) Kama Hakuna Wosia Idadi na aina ya mali Mambo yafuatayo sharti iliyoachwa. yazingatiwe: Juhudi zilizofanyika kuhakikisha kwamba 1. Kifo kiandikishwe kwa Mkuu marehemu hakuacha wosia. wa Wilaya katika muda Maelezo kuhusu maskani usiopungua siku 30. yake. 2. Mkutano wa ukoo ufanyike kumchagua msimamizi. Muhimu Kufanywa 3. Msimamizi aende kufungua (Msimamizi) mirathi Mahakamani akiwa na:Gharama za mazishi ziwe za Nakala ya uamuzi wa ukoo kuridhisha kufuatana na hali ya Cheti cha kifo. marehemu. Gharama za usimamizi 4. Tangazo hutolewa na Gharama za huduma alizopata Mahakama kwa muda wa siku marehemu za aina yoyote. 90. Kama hakuna matatizo, Madeni mengineyo. msimamizi hukabidhiwa barua ya kuhalalisha kugawa urithi na Sasa hivi ni zaidi ya miaka 30 tangu kulipa madeni. sheria hii ilipoundwa. Tanzania sasa ina Katiba ambayo lengo lake 5. Msimamizi hugawa mali na ni kuwa na taifa lenye amani na kurejesha nakala ya mgao usawa kwa wote. Taifa lenye watu mahakamani ili jalada walio na uhuru kamili, haki na lifungwe. undugu wa dhati. Ili kuondoa kila aina ya ubaguzi, unyonyaji, Barua ya usimamizi lazima itaje:- upendeleo, unyanyasaji, na Familia ya marehemu na ukandamizaji, Katiba imetamka anwani zao na ndugu wazi KWAMB A, binadamu wote ni waliokuwa wakimtegemea. sawa mbele ya uso wa sheria na 69 wana HAKI sawa, bila ya ubaguzi wa aina yoyote, kulindwa na kupewa haki sawa. kugawa kwa warithi, na siyo kuitumia yeye kwa kujinufaisha mwenyewe. Kwa maana hiyo, ni kinyume cha sheria kutunga sheria yoyote hapa Tanzania ambayo itakuwa na aina yoyote ya ubaguzi na unyanyasaji wa ki-jinsia, rangi, utaifa, kabila, dini n.k. Swali Wosia unachukuliwaje katika sehemu unayoishi? Katika sheria hizi, tumeona namna ambavyo hazitoi haki sawa kwa mwanamke na hasa sheria za kimila. Suala hili linapofika Mahakamani, kutokana na mifano hai ya kesi zilizozungumziwa, itategemea bahati ya mtu atapata jaji yupi, kama anashikilia kuamua kesi kufuata sheria za mila za mirathi, au kutumia KATIBA, ili ilete haki kwa wote. HITIMISHO Katika Sura hii tumeona aina mbalimbali za sheria za mirathi na jinsi zinavyoelezea ugawaji wa mirathi. Tumeona pia wosia ni nini, na umuhimu wa kuandika wosia. Pamoja na hayo jambo jingine lililodokezwa ni kuhusu MSIMAMIZI WA MIRATHI ambaye anapaswa kukusanya mali na Hivyo ni jukumu letu wananchi, na hasa wanawake ambao wanaguswa kwa karibu na unyanyasaji/ubaguzi wa sheria hizi kuziacha na kuihamasisha jamii kuacha ili kuwe na mabadiliko. Pili, tuwahamasishe wabunge wetu walijadili suala hili kwa kina bungeni ili zibadilishwe kuelekea kwenye mfumo wa usawa kwa wote, bila kubaguana. 70 WOSIA WAWEZA KUANDIKA WASIA WAKO KWA MFUMO HUU 1. Huu ni wasia wangu wa mwisho mimi............................................... wa S.L.P............................................................................................. 2. Namchagua.....................................................................................wa S.L.P................................................................................................... Simu:.................................................................................................. ambaye anaishi....................................... kuwa msimamizi wa mirathi yangu. 3. Nitakapokufa mwili wangu ukazikwe...................................................... Wilaya............................................. mkoa............................................ 4. Mali yangu ni: (a)......................................................................................................... ......................................................................................................... ......................................................................................................... ......................................................................................................... .......................................................................................................................................................................... (b) Nina akaunti zifuatazo: .......................................................................................................................................................................... .................................................................................................................. 5. Natamka kwamba mali zangu zote zinazohamishika na zisizo hamishika zitamilikiwa na mke/mume wangu aitwaye...................................................... wapo atakuwa hai baada ya kufa kwangu. 6. Iwapo mke/mume wangu aitwaye.......................................................... 71 Atafariki mapema kuliko mimi, mali zangu zitarithiwa na watoto wangu wafuatao: (a)........................................................................................................... S.L.P................................................................................................................. Simu................................................................................................... (b)........................................................................................................... S.L.P...................................................................................................... Simu................................................................................................... (c)........................................................................................................... S.L.P................................................................................................... Simu................................................................................................... (d)......................................................................................................... S.L.P................................................................................................. Simu................................................................................................. (e)......................................................................................................... S.L.P................................................................................................. Simu................................................................................................. (f)......................................................................................................... S.L.P................................................................................................. Simu................................................................................................. (g)......................................................................................................... S.L.P................................................................................................. Simu................................................................................................. (h)......................................................................................................... S.L.P................................................................................................. Simu................................................................................................. (i)......................................................................................................... S.L.P................................................................................................. 72 Simu............................................................................................................... Katika mafungu yaliyo sawa sawa. Imetiwa sahihi hapa....................................................................................... Siku ya.......................................................................................................... Mwezi wa.............................................. mwaka........................................ Sahihi ya mwasia.......................................................................................... Shahidi wa kwanza: Jina:......................................................................................................... Sahihi...................................................................................................... Anuani:......................................................................................................... .................................................................................................................. Kazi......................................................................................................... Shahidi wa Pili: Jina:......................................................................................................... Sahihi...................................................................................................... Anuani:..................................................................................................... .................................................................................................................. Kazi......................................................................................................... 73 Mbele ya: ................................................................................................................... ................................................................................................................... .................................................................................................................. .................................................................................................................. Mshuhudia viapo/sahihi 74 SURA YA TANO TALAKA 75 UTANGULIZI Chombo chenye mamlaka ya kutoa talaka K atika sura hii tutajifunza juu ya talaka, maana ya talaka, na chombo chenye mamlaka kisheria, kutoa talaka. Pia tutajifunza sababu na mambo yanayokubaliwa kisheria ili talaka iweze kutolewa. Wakati mwingine sababu hizo huwepo lakini wana ndoa huamua kutengana; hivyo basi tutajifunza juu ya kutengana. Pamoja na hayo Chombo pekee chenye uwezo wa kuvunja ndoa ni mahakama. Kwa kawaida mahakama hutoa talaka kwa ndoa ambayo imedumu kwa kipindi cha miaka miwili au zaidi. Lakini mahakama inaweza kutoa talaka hata kama ndoa haijadumu kwa kipindi hicho cha miaka miwili iwapo mlalamikaji atatoa sababu nzito sana. yote tutajifunza taratibu za kufuata kabla ya talaka kutolewa. Kwa kumalizia tutaona mifano michache ya kesi zilizoamuliwa na Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa zinazohusu talaka. Kutengana Kutengana si talaka. Kutengana maana yake ni mume na mke kuishi mbalimbali. Kutengana kunaweza kuwa kwa mapatano kati ya mume na mke bila ya kufika SEHEMU YA KWANZA mahakamani. Aidha kutengana kunaweza kutokana na amri ya Maana ya Talaka mahakama kuwatenganisha wanandoa ikiwa mmoja wao Sheria inayosimamia masuala ya talaka ni sheria ya Ndoa ya mwaka 1971. Na kwa mujibu wa sheria hiyo,“Talaka ni ruhusa ya kisheria ambayo mume au mke hupewa wakati anapomwacha mwenzie”. atakuwa amepeleka ombi hili mahakamani. Faida ya kutengana ni kuwa mume, mke au wote wawili baada ya muda, huweza kutambua makosa yao na hatimaye kurudiana na kuendelea kuishi pamoja. 76 Kutengana kwa mapatano Mume na mke kwa hiari yao wanaweza kukubaliana watengane ikiwa wameona hawaelewani katika maisha yao. Mapatano yanaweza kuwa ya mdomo au ya maandishi. Mambo ya kuzingatia kwenye mapatano ni:i. Mume na mke wote wameridhia kuisha mbalimbali ii. Kutokuudhiana, yaani hakuna ambaye atakwenda kumghasi mwenziwe au kutaka kujamii ana naye. iii. Mapatano ya matumizi kwa mke na watoto wa ndoa kama wapo iv. Mke kuishi maisha ya heshima;(mume je?) v. Kama kuna watoto, mapatano yaeleze ni nani atakaa na watoto vi. Kama kuna mali ya pamoja, lazima kuwe na mapatano kuhusu mali hiyo. Kutengana kwa amri ya Mahakama Sababu ambayo inaweza kuifanya Mahakama kutoa amri ya kutengana ni ile ile ya kuwa ndoa imevunjika. Ushahidi wa kuonyesha kuvunjika kwa ndoa ni ule ushahidi unaotakiwa katika talaka. Lakini mahakama inapotoa amri ya kutengana si lazima iamini kuwa ndoa imevunjika kiasi ambacho haiwezi kurekebishwa. Mahakama ikishatoa amri ya kutengana inaweza pia kutoa amri mume ampe mke na watoto kama wapo kiasi fulani cha matumizi. SEHEMU YA PILI Sababu ya kutoa talaka Mahakama hufikia uamuzi wa kutoa talaka baada ya kuridhika kuwa ndoa imevunjika kiasi ambacho haiwezi kurekebishika tena. 77 Mambo yanayofanya ndoa ionekane kuwa imevunjika kiasi ambacho haiwezi kurekebishika tena ni:Ugoni Ugoni ni zinaa kati ya mwanamume na mwanamke ambao hawajaoana, aidha mwanamume akiwa na mke wake au mwanamke akiwa ni mke wa mtu. Ili ugoni uwepo ni lazima kitendo cha zinaa kiwe cha hiari. Ukatili Ukatili unakuwepo pale ambapo mlalamikaji ameumizwa mwili au kuharibiwa afya yake, au kuwa na hofu ya kuamini kwamba hapo baadaye ataumizwa mwili au afya yake. Kuzembea wajibu kwa makusudi Mume ana wajibu wa kumtunza mkewe, kwa kumpa chakula, mahali pa kulala na mavazi yanayofaa kulingana na hali yao ya maisha. Mke pia ana wajibu wa kumtunza mume ikiwa mke huyo anao uwezo na mume hawezi kujipatia pato lolote, kwa sababu ya maradhi au maumivu ya mwili. Hivyo basi kama mume anaishi na mke, lakini hampi matumizi hata kidogo, au anatoa matumizi kidogo sana kwa mkewe, ukilinganisha na uwezo wake na hali yao ya maisha, huu unaweza kuwa ushahidi Kulawiti Kulawiti maana yake ni kumwingilia mtu kinyume na maumbile. Kichaa Ili talaka iweze kutolewa ni lazima madaktari wawili bingwa wa magonjwa ya akili wathibitishe kuwa ugonjwa huo hautapona. 78 kuonyesha kwamba ndoa Kifungo imevunjika. Ikiwa mume au mke ametenda kosa la jinai na ameonekana ana Kadhalika, kama mume hawezi hatia ya kosa hilo, iwapo atafungwa kujisaidia kwa matumizi ya kila kifungo cha maisha au kwa muda siku, lakini mkewe anao uwezo ila usiopungua miaka 5 talaka anakataa, basi mke anaweza inaweza kutolewa kwa sababu kupewa talaka, kwa sababu ndoa hiyo. hiyo inahesabika kuwa imevunjika kiasi kisichoweza kurekebishika. Dhana ya Kifo Hii ni kudhania kuwa mtu fulani Uasi(Utoro) huenda amekufa. Hali hii hutokea Kuasi katika lugha ya sheria ya ikiwa mume au mke ametoroka au talaka ni mume au mke kuhama kuondoka kwa siku nyingi na kutoka nyumba ya ndoa na kwenda hajulikani alipo na juhudi za kupata kuishi mahali pengine bila sababu habari zake hazikufanikiwa. Muda yoyote. Wakati mwingine mke unaokubalika kisheria ni ya miaka huondoka kutokana na vitendo vya 5 au zaidi. Mahakama hutoa ukatili anavyofanyiwa na mume tangazo kuwa fulani amekufa wake. Kisheria hapa mume ndiye baada ya kuwasilishwa ombi aliyemwasi mke. Huu ndio mahakamani na mume au mke unaoitwa“uasi wa hila”. Kitendo anayedhani kuwa mwenziwe cha uasi kikithibitika ni ushahidi wa amefariki. kuonyesha kuwa ndoa imevunjika. Tofauti za Itikadi au Dini Kutengana Kutokana na mfumo wa vyama Ikiwa mume na mke wametengana vingi vya siasa kuna ndoa ambazo kwa muda usiopungua miaka 3, zimevunjika na nyingine (au zaidi) kutengana kwao zitaendelea kuvunjika kutokana na kutakuwa ni ushahidi kuonyesha tofauti za itikadi ya siasa. Pia kuna kwamba ndoa imevunjika. ndoa ambazo zimevunjika baada 79 ya mume au mke kubadili dini Kwamba kulikuwa na ndoa kutoka Ukristo na kuwa Muislamu halali na kinyume chake. Kuna mgogoro kati yenu na jitihada za kusuluhisha SEHEMU YA TATU zimefanyika lakini imeshindikana Taratibu za kufuata wakati Taja watoto wa ndoa, jinsia na wa kuvunja ndoa umri wao kama wapo Taja mali mliyochuma wakati 1. Nenda Baraza la Usuluhishi la wa ndoa yenu ndoa linalotambuliwa kisheria Mwisho iombe mahakama itoe kwa mfano, BAKWATA, amri zifuatazo:Kanisani au Baraza la sheria la Kata.- ndoa imevunjika na talaka itolewe 2. Baraza la Usuluhishi- mgawanyo wa mali likishindwa kusuluhisha, litatoa mliyochuma hati kuelezea maoni yake na- mamlaka ya kukaa na watoto kuelekeza shauri likatatuliwe pamoja na matunzo yao Mahakamani. iwapo unaona unahitaji na unaweza kukaa nao 3. Andika madai yakuvunja ndoa- mwenzi wako alipe gharama na uyawasilishe Mahakani za kesi ukiambatanisha cheti cha ndoa- amri nyingine yoyote kama kipo, hati ya Baraza la ambayo mahakama itaona Usuluhishi na hati yoyote ile inafaa ambayo ungependa Mahakama iione. Wasilisha madai haya Madai ya talaka yaonyeshe mahakamani, utapewa namba ya yafuatayo: kesi na utaelezwa siku ya kusikiliza kesi. 80 SEHEMU YA NNE Kesi za Talaka pia iliunga mkono uamuzi wa Mahakama ya Mwanzo na ya Wilaya. Zifuatazo ni baadhi ya kesi zilizoamuliwa na Mahakama Kuu ya Tanzania na Mahakama ya Rufaa Tanzania: 1. Jalemela dhidi ya Shita (1970) H.C.D. Na. 319 Maelezo Mke aliomba apewe talaka kwa sababu baada ya mume kuoa mke wa pili mume aliacha kabisa kulala na mke wa kwanza kwa muda wa miaka miwili. Baada ya kuona hivyo mke wa kwanza alihama kutoka nyumba yao ya ndoa na kwenda kuishi na wazazi wake. 2. Mahakama ya Mwanzo ilitoa talaka kwa mke kwa sababu mume ndiye aliyekuwa ni mwasi. Mume aliomba rufaa Mahakama ya Wilaya ambako rufaa yake ilishindwa. Aliomba rufaa Mahakama Kuu ambayo 81 Hukumu Mnzavas Ag. J. alisema:“Mke alikata shauri kurudi kwa wazazi wake baada ya kuona kuwa mumewe hataki kulala nae kama mke kwa muda wa miaka miwili. Bwana hakuwa na sababu yoyote ya kufanya hivyo. Kwa hiyo ingawa mke ndiye aliyehama kimwili kutoka nyumba ya ndoa, lakini kwa maoni yangu naona mume hasa ndiye aliyemwasi mke kwa hila. Kwa hiyo mke alikuwa na haki ya kupewa talaka”. Hall dhidi ya Hall(1962) 1 W.L.R. 1246 Maelezo Kesi hii ilitokea huko Uingereza. Mume alikuwa analewa pombe mara kwa mara na kurudi nyumbani usiku wa manane na wakati mwingine alfajiri. Kila alipokuwa akirudi alikuwa akipiga kelele na kumwamsha mke na watoto usingizini. Mke alishindwa kuvumilia tabia hiyo, hivyo aliondoka na kumwacha mume peke yake, kisha alifungua madai kwamba mume ndiye aliyemwasi. Hukumu Hakuna shaka yoyote kwamba mke aliona hawezi kuendelea kuishi katika hali ya namna hii. Inawezekana kwamba mume alikuwa hana nia ya kutaka mkewe aondoke alipokuwa anafanya mambo yake ya ulevi. Lakini ilimpasa kujua kwamba mke asingweza kuendelea kuishi katika hali kama hii kwa muda mrefu zaidi. Mume ndiye aliyemwasi mke. 3. Fatu Musa dhidi ya Rashidi Makhame(1975) TLR Na. 10 Mke alikuwa ameishi na mumewe kwa muda 82 usiopungua miaka 20. Baadaye mume alipatwa na ugonjwa wa ukoma na kwenda kutibiwa hospitali kwa muda mrefu. Baada ya kupona alirudi nyumbani, lakini alikuwa akienda hospitali mara kwa mara kutibiwa. Baada ya mume kurudi hospitali mke alifungua madai ya talaka kutaka kuachana na mumewe. Sababu aliyoitoa ni kwamba mumewe ana ukoma. Mahakama ya Mwanzo ilikataa kutoa talaka. Mke aliomba rufaa ndipo kesi ilifika Mahakama Kuu. Hukumu Kisanga, J. alisema Kifungu 107(2) cha Sheria ya Ndoa, 1971 kimeorodhesha sababu ambazo ni ushahidi kuonyesha kuwa ndoa imevunjika. Ila katika orodha hiyo ukoma si mojawapo. Licha ya hivyo, kuruhusu kutoa talaka katika hali kama hii ni kutoa mfano mbaya kwa waume kuwaacha wake zao, au wake kuwaacha waume zao kwa sababu ya ugonjwa. Kufanya hivyo ni kuingiza udhaifu katika ndoa”. 4. Ester Mponda dhidi ya Bakari Nahoda(1982) TLR 202 Maelezo Mke na mume walikuwa wameishi kwa muda wa miaka 8. Mke alipeleka shauri la madai ya talaka kwa sababu mume alikuwa hampi uhuru wa kutumia kipato alichokuwa anachuma mwenyewe. Hukumu Mahakama ilikataa kutoa talaka kwa kuwa sababu iliyotolewa siyo nzito na mahusiano kwenye ndoa yalikuwa hayajavunjika kiasi ambacho hayawezi kurekebishwa. 83 Mambo ya kuzingatia Iwapo mume atafanya vitendo vibaya ambavyo vitamsababisha mkewe aondoke kwenye nyumba ya ndoa, mume ndiye anayehesabika kuwa amemwasi mkewe kwa hila; ijapokuwa mke ndiye aliyeondoka katika nyumba ya ndoa. Mume au mke anaweza kuhesabika kuwa amemwasi mwenzie hata kama wanaishi kwenye nyumba moja na hata chumba kimoja kama mume au mke atakuwa amekataa kushiriki tendo la ndoa kwa muda mrefu bila sababu yoyote. Mume au mke akimruhusu mwenzie kuzini hawezi baadae kudai talaka akitumia uzinifu wa mkewe au mumewe kwa sababu aliruhusu zinaa hiyo. Mahakama haiwezi kumpa mume au mke talaka kwa sababu mwenziwe amepatwa na ugonjwa. Mahakama inaweza kubadilisha mapatano yoyote kuhusu matumizi ya mke baada ya kutengana au kutoa talaka kama kuna lazima ya kufanya hivyo. HITIMISHO Katika sura hii tumejifunza juu ya talaka, maana ya talaka, chombo pekee chenye uwezo wa kutoa talaka, sababu zinazokubalika kisheria kabla talaka haijatolewa, na mambo yanayosababisha kuwepo kwa sababu hizo. Pia tumejifunza juu ya kutengana; kutengana kwa mapatano na kutengana kisheria. Pia tumejifunza taratibu za kufuata kabla ya kuomba talaka na mambo muhimu ambayo yanafaa kuwekwa kwenye hati ya madai ya talaka. Mwisho tumejifunza kesi za talaka na mambo muhimu ya kuzingatia. Maswali 1) Talaka ni nini? Kabla ya kutoa talaka Mahakama huangalia nini? 2) Kuna aina ngapi za kutengana? Zitaje na uzifafanue 3) Bwana Makeke amekuja kwako kuomba ushauri. Anataka kumuacha mkewe kwa sababu amezaa watoto wa kike tu,- Utamshauri nini? 4) Taja taratibu za kufuata kabla ya kuvunja ndoa. 84 SURA YA SITA SHERIA YA MAKOSA YA KUJAMIIANA 85 UTANGULIZI K atika Sura hii kuna maelekezo kuhusu Sheria ya Makosa ya Kujamiiana ya mwaka 1998, kimsingi sheria hii ya makosa ya kujamiiana imefanya mabadiliko katika sheria nyingine tano ambazo zinahusiana moja kwa moja na makosa ya kujamiiana. Sheria zilizofanyiwa mabadiliko ni: (i) Sheria ya Kanuni ya Adhabu (Sura ya 16 ya sheria za Tanzania). (ii) Sheria ya Ushahidi ya mwaka 1967. (iii) Sheria ya Watoto na Vijana Wadogo(Sura ya 13 ya sheria za Tanzania) (iv) Sheria ya Kiwango cha Chini ya Adhabu ya Mwaka 1972 na (v) Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai ya mwaka 1985. Kimataifa wa kuondoa aina zote za Ubaguzi dhidi ya Wanawake. Tafsiri ya Baadhi ya Maneno ya Msingi Sheria hii katika sehemu yake ya kwanza imeeleza na kutafsiri baadhi ya maneno ambayo pengine kama yasingeweza kuelezwa(kutafsiriwa) basi yangekuwa na uwezekano mkubwa wa kutolewa tafsiri mbalimbali zenye utata na hivyo kuleta ugumu kiutekelezaji. Baadhi ya maneno yaliyotolewa tafsiri ni kama yafuataryo: Mtoto wa Kiume ni mtu wa jinsia ya kiume mwenye umri chini ya miaka 18. Mtoto wa kike ni mtu wa jinsia ya kike mwenye umri chini ya miaka 18. Sheria hii inalenga kulinda heshima, uhuru, na hadhi ya mwanamke na mtoto. Pia sheria hii inatekeleza Mkataba wa Mwanaume ni mtu yeyote wa jinsia ya kiume mwenye umri zaidi ya miaka 18. 86 Mwanamke ni mtu yeyote wa jinsia ya kike mwenye umri wa zaidi ya miaka 18. Kutengana kunajumuisha kutengana kwa mke na mume kulikotokana na utaratibu wa kifamilia au kulikotokana na maamuzi ya wakubwa wa ukoo hata bila wahusika kwenda mahakamani au vinginevyo. Kujamiiana kwa minajili ya kiushahidi. Ili kuthibitisha kosa la kujamiiana itahesabika kuwa tendo hilo limefanyika iwe kimaumbile au kinyume na maumbile, iwapo kuna muingiliano tu na sio mpaka kutoka kwa mbegu za kiume. A: Mabadiliko katika Sheria zinazogusa Makosa ya Kujamiina 1. Sheria ya Ushahidi ya mwaka 1967 Mabadiliko yaliyofanyika katika sheria hii ni yale yanayohusu kifungu kinachoeleza kuchukua ushahidi wa mtoto mdogo na mwathirika wa makosa ya kujamiiana. Kifungu hiki kimepunguza makali ya uchukuaji wa ushahidi wa mtoto mdogo kwenye makosa ya kujamiiana. Mahakama itakuwa na wajibu wa kuangalia ukweli wa ushahidi huo na inaweza kumtia hatiani mkosaji kwa ushahidi huo pekee, bila kuhitaji ushahidi wa ziada toka kwa mtu mwingine. 2. Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai ya 1985 Mabadiliko yaliyofanywa katika sheria hii ni pamoja na yafuatayo: i. Kesi zinazohusu makosa ya kujamiiana zitasikilizwa kwa faragha na hazitapaswa kupelekwa au kuandikwa katika vyombo vyovyote vya habari. 87 Muhimu Mwenendo wote wa kesi za kujamiiana chini ya sheria hii unatakiwa kufanyika faragha (in camera) kujamiiana imetamka bayana kuwa iwapo mshtakiwa ni mtoto wa umri chini ya miaka 18 au shahidi basi kesi hiyo ya makosa ya kujamiiana itafanyika faragha. ii. Mahakama zimeongezewa 5. Mabadiliko katika Sheria ya mamlaka ya kuamuru fidia Kanuni ya Adhabu, Sura ya itolewe kwa mwathirika 16 ya Sheria za Tanzania kulingana na kuathirika kwake(Penal Code, Cap. 16) licha ya mkosaji kupewa adhabu ya kifungo. Moja ya mabadiliko yaliyotiliwa mkazo sana katika sheria ya 3. Sheria ya Kiwango cha Chini Kanuni ya Adhabu ni cha Adhabu ya Mwaka 1972 mabadiliko juu ya kosa la kubaka. Kisheria kubaka ni Mahakama katika kutoa kosa la jinai kwa mtu wa jinsia adhabu kwa mkosaji wa ya kiume kumwingilia makosa ya kujamiiana(kujamiiana) msichana au haifungwi na Sheria ya mwanamke katika mazingira Kiwango cha Chini bali yafuatayo; mahakama itatoa adhabu kulingana na adhabu(i) Sheria inatamka kwamba inayotolewa katika Sheria ya mwanaume atakuwa Makosa ya Kujamiiana. ametenda kosa la kubaka endapo atamwingilia 4. Sheria ya Watoto na Vijana(kujamiiana) msichana au Wadogo Sura ya 13 mwanamke ambaye si mke wake, au kama ni mke Sheria ya makosa ya walitengana naye 88 akamwingilia bila ya ridhaa yake. Kimantiki sheria inamzuia mwanaume kumwingilia mwanamke au msichana bila ridhaa yake hata kama ni mke ili mradi wawe wametengana. (ii) Pia kisheria mwanaume atahesabika amebaka endapo atajamiiana na mwanamke au msichana kwa ridhaa yake ambapo ridhaa hiyo imepatikana kwa matumizi ya nguvu, vitisho au kwa kumweka mwanamke au msichana huyo kwenye hatari(hofu) ya kifo au kumuumiza au kama mwanamke au msichana huyo atakuwa amewekwa kwenye kizuizi kinyume cha sheria. (iii)Sheria inaainisha mazingira mengine ya kubaka kuwa ni pale ambapo mwanaume atajamiiana na msichana au mwanamke kwa ridhaa 89 yake ambapo ridhaa hiyo imepatikana katika wakati (muda) ambao mwanamke au msichana huyo hakuwa na akili timamu au alikuwa katika hali ya ulevi aliopewa wa aina yoyote ya madawa au kitu chochote alichopewa na mwanaume au na watu wengine labda ithibitishwe kwamba kulikuwa na ridhaa kwa matendo ya kilevi. Kitafsiri ridhaa inayozungumziwa na kukubalika kisheria ni ile anayoitoa mwanamke au msichana akiwa na akili zake timamu. (iv) Mwanaume anachukuliwa kuwa ametenda kosa la kubaka endapo atajamiiana na msichana au mwanamke kwa ridhaa yake ambapo mwanaume anajua kuwa yeye si mume wa mwanamke au msichana huyo na kwamba ridhaa imetolewa kwa sababu mwanamke amepelekewa kuamini msichana aliye na umri kuwa yule mwanaume ni chini ya miaka 18 na mume wake halali. ambaye si mke wake. Haitakuwa kinga kwa Kwa minajili ya kuthibitisha mwanaume kudai kuwa kosa la kubaka, sheria msichana huyo aliridhia. inabainisha kuwa hata Ridhaa ya msichana wa muingiliano(mpenyo) umri chini ya miaka 18 kidogo unatosha haikubaliki kisheria. kuthibitisha tendo la kujamiiana. Aidha sheria kwa kutambua mazingira ya usiri yanayozunguka kosa lenyewe la kubaka inatamka na kukubali ushahidi wa kimgogoro wa mabishano ambao huweza kujitokeza katika harakati za mtu kutaka kujamiiana na mwanamke au msichana bila ridhaa yake. Kwa mfano maumivu au kuumia Adhabu kwa Kosa la Kubaka kimwili unakubalika kama ni ushahidi muhimu Adhabu ya mtu atakayepatikana na kuthibitisha tendo la hatia ya kosa la kubaka ni kujamiiana bila ridhaa. kuhukumiwa kwenda jela kifungo cha maisha. Kama mahakama (v)Mwanaume atahesabiwa itaonelea vyema kutoa adhabu ya amebaka pale kifungo basi kifungo hicho kisiwe atakapojamiana na chini ya miaka 30, viboko na faini 90 na zaidi ya hayo atatakiwa kutoa fidia kwa mtu aliyembaka (muathirika) katika kiwango kitakachoamuriwa na mahakama kulingana na athari alizozipata aliyebakwa. Kwa upande mwingine na bila kuathiri vipengele vingine vya sheria hii, yeyote atakayepatikana na hatia ya kumbaka msichana chini ya miaka kumi basi atahukumiwa kifungo cha maisha. Katika mantiki ya kumlinda mtoto Kubaka kwa Kundi(Kupiga na bila kuathiri vipengele vingine Mande) vya sheria yoyote endapo kosa la kubaka limefanywa na mtoto wa Endapo mtu zaidi ya mmoja kiume mwenye umri chini ya miaka watatenda kosa la kumbaka 18 lakini si chini ya miaka 12, basi msichana au mwanamke basi mtoto huyo atahukumiwa kama kitendo hicho kisheria huitwa ifuatavyo.“kupiga mande au kubaka kwa kundi(Gangrape)”. Kubaka kwa (i) Kama ni mara yake ya kwanza kundi kunajumuisha watu wote kutenda kosa hilo watakaotenda tendo lenyewe la atahukumiwa kuchapwa kubaka au watakaosaidia kwa viboko peke yake bila adhabu namna yoyote katika kutendeka nyingine yoyote. kosa la kubaka. (ii) Kama kosa hilo ni mara ya pili kwa mtoto huyo kutenda basi Adhabu ya Kubaka kwa Kundi atahukumiwa kifungo cha miezi kumi na miwili jela Adhabu ya kubaka kwa kundi pindi pamoja na viboko. mtu atakapotiwa hatiani ni kifungo (iii) Na kama hiyo ni mara ya tatu cha maisha bila kujali alivyoshiriki kwa mtoto huyo kutenda kosa katika ukamilishaji wa kosa la la namna hiyo basi kubaka. atahumumiwa kifungo cha maisha. 91 Bughudha za Kijinsia(Sexual Harassment) mahakama kulingana na athari alizozipata muathirika. Katika kosa la bughudha ya kijinsia (Sexual harassment) sheria inaeleza kwamba, mtu yeyote ambaye kwa dhamira atamshambulia, au atatumia nguvu kinyume cha sheria akambughudhi mtu mwingine kijinsia au kwa kutumia maneno au vitendo na kusababisha maudhi au bughudha kijinsia kwa mtu mwingine, basi mtu huyo aliyembughudhi mwingine atahesabika kisheria kama ametenda kosa la bughudha ya kijinsia. Adhabu ya Kosa la Bughudha ya Kijinsia Aidha sheria inasisitiza zaidi katika kuainisha kosa la bughudha ya kijinsia kuwa mtu yeyote atakeyedhamiria kudhalilisha utu wa mwanamke au msichana kwa kutumia maneno, kutoa sauti au kuonesha ishara au kwa kuonyesha kitu chochote ikiwa ni pamoja na kuonyesha kiungo chochote kiwe cha kiume au cha kike kwa kudhamiria kwa maneno au sauti hizo zisikike au ishara au kitu hicho kiweze kumwingilia sehemu za siri mwanamke au msichana, basi mtu huyo atakuwa ametenda kosa la bughudha ya kijinsia. Adhabu ya mtu atakeyetenda kosa Kwa kutafsiri shambulio katika la bughudha ya kijinsia pindi kipengele hiki itajumuisha matendo akipatikana na hatia ni kifungo yote ambayo si kubaka kwa mujibu kisichozidi miaka mitano au faini wa sheria hii. Ili kuondoa wasiwasi isiyozidi shilingi laki mbili au wowote wakimaana, bughudha za atahukumiwa adhabu zote mbili kijinsia zitahusisha matendo yote yaani kifungo pamoja na faini kama ya kumtaka bila ridhaa mwanamke ilivyoelezwa hapa juu na pia kimapenzi kwa kutumia maneno au anaweza kuamuriwa kulipa fidia vitendo kwa mtu aliyeko kwa kiasi kitakachotathiminiwa na madarakani katika sehemu za kazi. 92 Ukomo wa Kupeleka Shauri la kusema au kupoteza kiungo cha Bughudha ya Kijinsia mwili au kuathirika kiakili, basi mtu huyo atakayepelekea athari hizo Shauri lolote la bughudha za kwa mtoto atakuwa ametenda kosa kijinsia linapaswa kufikishwa katika la ukatili kwa mtoto. vyombo vya sheria na mtu aliyeathirika na bughudha hizo Adhabu kwa Kosa la Ukatili kwa muda wowote lakini isizidi siku 60 Watoto toka tukio la bughudha lilipotokea. Mtu yeyote atakeyetiwa hatiani kwa Ukatili kwa Watoto(Cruelity to kosa la ukatili kwa mtoto(watoto) Children) basi atahukumiwa kifungo jela kisichopungua miaka mitano na Sheria inatamka bayana kuwa mtu kisichozidi miaka 15 au yeyote ambaye ana wajibu wa atahukumiwa faini isiyozidi shilingi kulinda usalama wa mtoto wa chini 300,000/= au atahukumiwa ya miaka 18 na badala yake adhabu zote mbili kwa pamoja akamtendea vibaya, kutokumjali au yaani kifungo kisichopungua miaka kumtelekeza mtoto huyo au kama 5 na kisichozidi miaka 15 pamoja mtoto huyo ni wa kike na faini isiyozidi shilingi 300,000/= akasababisha mtoto huyo Pamoja na adhabu hizo hapo juu, kukeketwa(tahiriwa) au pia mkosaji huyo ataamuliwa akamuweka katika mazingira kumlipa fidia mwathirika kwa kiasi ambayo yatapelekea mtoto huyo kitakachoamuriwa(tathiminiwa) na kushambuliwa na kutendewa mahakama kwa mujibu wa athari vibaya, kutojaliwa au kutelekezwa alizozipata muathirika. katika mazingira ambayo yanaweza yakasababisha Tafsiri ya moja kwa moja ya adhabu kuathirika kiafya ambako hii ni kuwa pindi mahakama kunajumuisha kuumia au kupoteza itakapobaini kosa la ukatili kwa uwezo wa kuona au kusikia au mtoto basi itapaswa aidha 93 kuchagua moja kati ya adhabu za kifungo kisichopungua miaka 5 na kisichozidi miaka 15. Maana ya adhabu hiyo ni kuwa kifungo chaweza kuwa chochote kuanzia miaka 5 mpaka miaka 15. Kama mahakama itaonelea si vyema kutoa adhabu ya kifungo kwa mujibu wa mazingira ya kesi yenyewe basi inayo mamlaka ya kumhukumu mkosaji huyo kulipa faini isiyozidi shilingi 300,000. Zaidi ya uchaguzi huo wa aidha kifungo au faini pia mahakama kwa mujibu wa sheria inaweza kutoa adhabu zote mbili kwa pamoja yaani kifungo na faini kama ilivyoelezwa hapo awali. Katika mazingira yoyote ya uchaguzi wa adhabu kama ilivyoelezwa hapo juu, mahakama itapaswa pia kuambatanisha adhabu ya kumuamuru mkosaji kumlipa fidia muathirika kwa kiasi kitakachoamuriwa na mahakama kwa mujibu wa athari alizozipata muathirika. Unyonyaji wa Kijinsia Dhidi ya Watoto Kosa hili la unyonyaji wa kijinsia dhidi ya watoto laweza kutendeka kama sheria inavyoainisha katika mazingira tofauti kama ifuatavyo. (i) Mtu yeyote ambaye hali akijua atamuruhusu mtoto yeyote kukaa katika maeneo yake kwa lengo la kusababisha mtoto huyo kutumiwa vibaya kimahusiano na kujamiiana au kushiriki kwa aina yoyote katika matendo ya kujamiiana au kumshirikisha mtoto huyo katika vitendo vyovyote au maonyesho ya ngono au yasiyo ya kimaadili. (ii) Mtu yeyote anayefanya vitendo vya kuwachukua na kuwapelekea watoto kufanya vitendo vya kujamiana au aina yoyote ya matumizi mabaya ya watoto kijinsia au kuwafanya watoto kufanya maonyesho yasiyo ya kimaadili. 94 (iii) Mtu yeyote anayemshawishi kumtumia mtoto huyo katika mtu mwingine kuwa mteja wa maonyesho yasiyo ya mtoto kwa madhumuni ya kimaadili. kujamiana au kwa namna yoyote ya matumizi mabaya ya Adhabu kwa Kosa la Unyonyaji kijinsia au kumfanya mtoto wa Kijinsia Dhidi ya Mtoto kufanya maonyesho yaliyo kinyume na maadili. Mtu yeyote atakeyetiwa hatiani kwa kosa la unyonyaji wa kijinsia dhidi (iv) Mtu yeyote ambaye atatumia ya mtoto adhabu yake ni kwenda nafasi yake ya kimahusiano na jela kwa kifungo kisichopungua mtoto kumfanya mtoto ashiriki miaka 5 na kisichozidi miaka 20. katika matendo ya kujamiana au kufanya maonyesho yaliyo Maana ya adhabu hii ni kuwa kinyume na maadili. mkosaji anaweza kuhukumiwa kifungo cha miaka yoyote ile kati (v) Mtu yeyote atakeyemtisha au ya miaka 5 na 20. Uwezo wa kutumia nguvu kwa namna ya kuamua ni kifungo gani kinastahili vurugu kwa mtoto ili kumpata umeachwa kwa mahakama kwa kwa minajili ya kujamiiana au mujibu wa mazingira ya kesi katika aina yoyote ya matumizi yenyewe. mabaya ya kijinsia au maonyesho yasiyo ya Kama nia na madhumuni ya sheria kimaadili. hii inavyoonyesha, ili kukidhi nia hiyo sheria ya makosa ya (vi) Mtu yeyote atakeyetoa pesa, kujamiiana imeongeza umri wa bidhaa au msaada wowote mtoto kutowajibika kisheria kutoka kwa mtoto au kwa mzazi wa miaka 7 ya awali mpaka miaka 10. mtoto ili ampate na kumtumia mtoto huyo kwa matumizi Mtoto wa miaka 12 hatawajibishwa mabaya ya kijinsia au kisheria katika vitendo 95 vinavyopelekea kosa la jinai isipokuwa pale itakapothibitishwa kuwa katika kipindi alichofanya matendo hayo alikuwa na uwezo wa kujua kuwa hakupaswa kufanya matendo hayo. Aidha sheria inatamka kuwa mtoto wa kiume wa chini ya miaka 12 hawezi kutenda makosa ya kujamiiana. mwanamke huyo akatumia vitendo vyovyote vya kumuogofya msichana au mwanamke huyo kwa minajili ya kujamiiana naye. (c) Kwa kufanya aina yoyote ya ulaghai kwa msichana au mwanamke ili aweze kupata ridhaa ya msichana au mwanamke huyo. Kosa la Kujaribu Kubaka(d) Kwa kujifanya yeye ni mume wa msichana au mwanamke Mtu atahesabika kuwa ametenda huyo na mwanamke au kosa la kujaribu kubaka endapo msichana huyo akawekwa kwa dhamira atajaribu kufanya katika nafasi(mazingira) tendo la kujamiiana kinyume cha ambayo itamfanya adhanie sheria na msichana au kuwa ni mume wake na bila mwanamke. Dhamira ya mtu kufahamu angeweza anayetuhumiwa kwa kosa la kujamiiana naye kwa kudhani kujaribu kubaka inaweza ni mume wake. kujitokeza katika matukio yafuatayo: Adhabu ya Kosa la Kujaribu Kubaka (a) Kwa kumtisha msichana au mwanamke kwa minajili ya Adhabu ya kosa la kujaribu kubaka kujamiiana naye. inaainishwa katika mazingira tofauti kutegemea na namna kosa (b) Akiwa mtu mwenye madaraka lenyewe linavyoweza kufanyika. au mamlaka kwa msichana au 96 (a) Endapo mtu atatenda kosa la kujaribu kubaka katika mazingira ya ulaghai au kijifanya mume kama ilivyoainisha hapo juu katika kipengele(c) na(d) basi adhabu yake ni kifungo cha maisha na endapo kutokana na kesi mahakama itaonelea vema kutoa adhabu nyingine, basi adhabu hiyo ni kifungo kisichopungua miaka 10. (b) Mtu yeyote atakayepatikana na hatia kwa kosa la kujaribu kubaka isipokuwa kwa mazingira ambayo yameelezwa hapo juu, basi atahukumiwa kifungo cha maisha na katika mazingira ambayo mahakama inaonelea vema kutoa adhabu nyingine basi adhabu hiyo ni kifungo kisichopungua miaka 30 na au bila viboko. Mantiki iliyopo katika sehemu hii ya mwisho ni kuwa mahakama inaweza kuchagua aidha kumhukumu kifungo mkosaji pamoja na viboko au kumhukumu kifungo pekee bila viboko. Shambulio Shambulio Wanawake la Kijinsia na la Aibu kwa Mtu yeyote ambaye kwa kudhamiria atasababisha maudhi ya kijinsia kwa mtu mwingine aidha kwa kutamka maneno au kutoa sauti, ishara au kuonyesha maneno au kitu chochote kwa nia kwamba maneno hayo au sauti hiyo iweze kusikika au ishara au kitu hicho kiweze kuonekana na mlengwa, basi mtu huyo atakayefanya moja katika maudhi hayo atakuwa ametenda kosa la shambulio la kijinsia na shambulio la aibu kwa mwanamke. Endapo shauri hili la shambulio la aibu litafikishwa mahakamani na muathirika ni mtoto wa kiume/wa kike chini ya miaka 18, sheria inatamka bayana kuwa haitakuwa kinga hata kama mtoto huyo atakuwa aliridhia kufanyiwa vitendo hivyo. 97 Adhabu Mtu yeyote atakayetiwa hatiani kwa kosa la shambulio la kijinsia basi atahukumiwa kifungo kisichozidi miaka 4 au faini isiyozidi shilingi 300,000/= au vyote viwili pamoja faini na kifungo. kisichopungua miaka 10 pamoja na viboko na pia ataamriwa kulipa fidia kwa kiwango kitakachofikiwa na mahakama kulingana na athari alizozipata muathirika wa kosa hilo. Ukiukwaji wa Jinsia wa Kiwango cha Juu Matendo yanayokiuka Maadili (Ustaarabu) kwa Kiwango cha juu na Adhabu yake Mtu yeyote ambaye katika hadhara au faragha au akawa sehemu katika utendaji wa kosa la matendo yanayokiuka maadili(ustaarabu) kwa kiwango cha juu basi mtu huyo atahukumiwa kifungo au faini isiyopungua shilingi 100,000/= na isiyozidi 300,000/= Kama kosa hili litakuwa limetendwa na mtu mwenye umri wa miaka 18 au zaidi dhidi ya mtoto wa miaka chini ya miaka 18, mwanafunzi wa shule ya msingi au mwanafunzi wa sekondari, basi mtu atakayepatikana na hatia hiyo atahukumiwa kifungo Mtu yeyote ambaye ili kujiridhisha kijinsia atafanya kitendo chochote kwa kutumia viungo vyake vya siri au kiungo chochote cha mwili wake au kifaa chochote cha mtu mwingine ambacho kitendo hicho hakifikii kwa tafsiri ya sheria hii kuitwa ni kitendo cha kubaka, basi kosa hili limetafsiriwa kama ukiukwaji wa jinsia wa kiwango cha juu. Vitendo vinavyoharamishwa chini ya kosa hili ni: a) Vitendo vinavyofanywa bila idhini ya mtendewa. b) Kwa ridhaa ya mtendewa lakini ridhaa hiyo imepatikana kwa matumizi ya nguvu, vitisho au kumweka mtu huyo katika hofu 98 ya kifo au kuumia au wakati muathirika yuko katika kizuizi kinyume cha sheria. c) Kwa ridhaa ya mtendewa ambapo ridhaa hiyo imepatikana wakati mtendewa hakuwa na akili timamu au alikuwa katika hali ya ulevi uliosababishwa na pombe au madawa ya kulevya au kitu kingine chochote. Adhabu Mtu yeyote atakeyepatikana na hatia ya kutenda kosa la ukiukwaji wa jinsia wa kiwango cha juu atahukumiwa kifungo kisichopungua miaka 15 na kisichozidi miaka 30 pamoja na adhabu ya viboko na pia ataamriwa kulipa fidia kwa kiwango kitakachoamuriwa na mahakama kutokana na athari alizozipata muathirika. Endapo kosa hili litatendeka dhidi ya mtoto wa chini ya miaka 15 basi mkosaji atahukumiwa jela kifungo sio chini ya miaka 20 na kisichozidi miaka 30 na pia atatakiwa kulipa fidia kwa kiwango kitakachoamuriwa na mahakama kulingana na athari alizozipata muathirika. Kosa la Kujamiiana Kinyume na Maumbile(Ulawiti) Mtu yeyote ambaye atajamiiana na mtu mwingine kinyume na maumbile au atajamiiana na mwanaume au atamruhusu mwanamume kumwingilia kinyume na maumbile, basi mtu huyo atakuwa ametenda kosa la kujamiiana kinyume na maumbile. Adhabu Mtu yeyote atakayetiwa hatiani kwa kosa la kujamiiana kinyume na maumbile basi adhabu yake ni kifungo kisichopungua miaka 30 jela. Ili kumlinda zaidi mtoto dhidi ya kosa la aina hii sheria inatamka bayana kuwa kama kosa hili litafanyika dhidi ya mtoto chini ya miaka 10 basi mkosaji atahukumiwa kifungo cha maisha. 99 Kosa la Kujaribu Kutenda Kosa atahukumiwa kifungo jela la Kujamiina Kinyume na kisichopungua miaka 20. Maumbile Makosa ya Maharimu kwa Katika jaribio lolote la kutaka Wanawake kutenda kosa la kujamiina kinyume na maumbile basi mkosaji Mwanamke yeyote wa miaka 18 na atahukumiwa kwenda jela kifungo zaidi ambaye kwa ridhaa yake kisichopungua miaka 20. atamruhusu baba yake, kaka au dada yake kijamiiana naye basi Makosa ya Maharimu kwa atakuwa ametenda kosa la kuwa Wanaume na mahusiano ya kujamiiana yaliyoharamishwa kisheria. Mwanaume yeyote ambaye atakuwa na mahusiano ya Adhabu kujamiiana huku akifahamu kuwa ni mkuu wake, binti yake, dada au Mwanamke atakeyapatikana na mama yake basi atakuwa kosa la maharimu kwa wanawake ametenda kosa la kuwa na basi atahukumiwa kifungo cha mahusiano na mtu ambaye sheria maisha jela au kifungo inamuharamisha. kisichopungua miaka 30 na ataamriwa amlipe fidia muathirika Adhabu kwa athari alizozipata na kiwango kitaamriwa na mahakama. Kama mwanamke aliyejamiiana naye ni wa umri chini ya miaka 18, Ili kulinda maslahi ya mtoto na basi atahukumiwa jela kifungo kama kosa limetendeka kwa mtoto kisichopungua miaka 30. wa umri chini ya miaka 10, basi mkosaji atahukumiwa kifungo jela Kama mwanamke ni wa umri wa kisichopungua miaka 30. miaka 18 na zaidi basi 100 HITIMISHO kuifahamisha jamii juu ya kukidhiwa kwa sheria hii. Ni kwa Ili sheria iweze kutimiza na hivyo kufanya hayo tu ndiyo tutaifanya kukidhi haja yake ni wazi sheria sheria hii itumike na kueleweka hiyo lazima ifahamike kwa kama watunzi wa sheria hiyo walengwa na hatimaye kwa jamii walivyotaka. nzima kwa ujumla. Maswali katika Vikundi Katika kuhitimisha kazi ya ufahamu wa sheria hii kwa walengwa kila 1. Bwana Yusufu alimuoa Selina mwenye ufahamu wa sheria hii ana ambaye alikuwa na binti yake wajibu kijamii kuelimisha jamii juu anayeitwa Tunda. Bwana ya sheria hii. Yusufu aliamua kumuasili Tunda baada ya kukaa na Kiutekelezaji serikali pamoja na Selina miaka 5 bila ya kujaliwa vyama visivyo vya kiserikali hazina kupata mototo. Yusufu na budi kutoa kipaumbele kwenye Selina walikorofishana na suala la kufahamisha jamii kuhusu kutenganishwa na Baraza la sheria muhimu za nchi. ukoo. Yusufu alibaki na Tunda. Alimshawishi Tunda na Pamoja na kuifahamu sheria pia kumwambia yeye sio baba wanajamii wanapaswa kuikubali na mzazi hivyo wanaweza kutekeleza sheria kama chombo kufanya tendo la kujamiiana. chao cha kuwaletea mabadiliko. Tunda alikubali. Selina alipata Sheria peke yake haitoshi, bali taarifa hizo na alikuja kwa kuiridhia sheria hiyo na mantiki Yusufu ili amchukue Tunda. yake kimsingi. Yusufu alimshika kwa nguvu na kufanya nae tendo la Yeyote anayechukua jukumu la kujamiiana kwa madai kufahamisha jamii juu ya sheria hii kwamba, hata kama ni lazima ajiwekee lengo wametengana bado ni mume 101 na mke. Elezea Yusufu alitenda makosa gani chini ya Sheria ya Makosa ya Kujamiiana. 2.(i) Elezea mikakati utakayofanya kuhakikisha sheria hii inafahamika kwa Umma wa Watanzania. (ii)Elezea mapungufu yaliyomo kwenye sheria hii. Toa mapendekezo baada ya mwaka mmoja alimpeleka mtoto kijijini Buchosa akakeketwe maana aliona Saida amemtelekeza na hana matumizi ya kutosha kumlea mtoto. Alidhani akimkeketa atampunguzia maambukizo ya magonjwa. Dada yake Saida amekuja kuomba ushauri kwako kuhusu hatua za kuchukua dhidi ya Saida na Shangazi. Utamshauri je? Toa sababu za ushauri wako. 3. Saida ameamua kumuacha mtoto wake wa miaka 6 kwa shangazi yake ili akatafute kazi jijini Dar es Salaam. Shangazi 4. Sheria ya Makosa ya Kujamiiana inalinda vipi, heshima na uhuru wa mwanamke na mtoto? 102 MUHTASARI KWA LUGHA YA KIINGEREZA ENGLISH SUMMARY OF THE MANUAL 103 CHAPTER ONE LAND ACTS 1999 INTRODUCTION T he government had enacted Land Laws in1999 i.e. Land Act No. 4 of 1999 and Village Land Act No. 5 of 1999. These laws were passed following the weaknesses in the existed Land Ordinance of 1923. Among the weaknesses was that women’s right in acquiring, using, disposing and/or sale the land was not clearly defined and hence difficult for them to access the land. There are contributory factors to this denial and these are: customs, traditions as well as Customary Law of Inheritance which add to denial of direct right to land rights. Thus the new land Acts 1999 have taken into consideration all these weaknesses and come up with provisions which address the problem of gender. Fundamental principles in the new Land Acts. Land is public property Both men and women have equal rights in acquiring, utilizing and disposing the land. Existing rights of occupancy (including customary rights) are protected under the law. That the land should be utilized and developed. Compensation is to be paid to the owner/occupier of the land when the government wants to acquire the particular land for public interest. Categories of Public land under the New Land Acts, 1999. - General land - Village land - Conservation land. LAND ACT NO. 4 OF 1999 This Act covers administration of 104 land, dispute resolutions and other general issues. This Act does not cover village land. It covers general land and conservation land. disposal. If one of the occupiers decided to transfer his share to other occupiers. Who may apply for land Disposing or transferring of the ownership under this law right of occupancy Any adult Tanzania(man or- Any person intending to woman) dispose or transfer his/her right Group of individuals who are of occupancy must give notice Tanzanians by filing the form and send it to Individual/group of individuals the land commissioner/officer. who are Tanzanians/Non However, the commissioner/ Tanzanians will be granted officer for land cannot agree derivative rights. with the transfer/disposal if it is Non Tanzanian can not apply meant at denying the other for land acquisition except for party to the occupancy(e.g. a the purpose of investment. party to the marriage) the right to occupy the said land. Types of rights of occupancy- Women are given first priority Individual right of occupancy in the right to land occupation Co-occupancy-(which is again when their husbands intend to divided into tenancy in transfer the right of occupancy. common and joint tenancy) N.B: Land owned under co- Mortgage. occupancy system is not subject to- The law provides for the right disposal(by individual) and/or sale to mortgage the land. except: In mortgaging the matrimonial house or land owned under If parties to the right of customary right of occupancy occupancy have agreed on the one has to follow important 105 procedures i.e. filing the form first which must also be signed by his wife otherwise the mortgage will be considered to be null and void. Banks and other financial institutions that grant loan have to investigate on whether or not the wife/party to the marriage has consented to the mortgage before granting the loan. VILLAGE LAND ACT- NO. 5 OF 1999 This Act provides for among other things administration of the village land, boundaries for the particular land and that Village land is under supervision/administration of Village General Assembly. The position of women in occupying village land The law provides for equal rights of both men and women in acquiring, utilizing, and disposing land without any gender differentiation. Administration and supervision of village land. Administration of village land is vested into the Village Council. The Village Council while granting land to individual(s) should first get authority from the Village General Assembly. This law is the one applicable in guiding village land but if there is an issue(concerning land) which has not been clearly explained by this law and there is no other legislation to cover the same then customary law will be applicable. Section 20(2) of this law provides that the customary law should not be repugnant to other statutory laws and should match with principles of human rights. Customary laws will be considered to be null and void if they are on their face discriminatory(i.e. deny women the right to easily access land right). 106 Who may apply for the right of occupancy under the Village Land Act Adult man/woman who is a villager of the particular village. Individual/family group of individuals. Any woman who was married and divorced in that particular village. A group of individuals who are not the residents of that village (but should have referees not less than 5 who are the villagers). These individuals should show an intension to stay there permanently within two months. While making decision on the application(s) the Council should consider the issue of gender balance. When the individual(s) is/are granted right of occupancy will be given the certificate of occupancy. Transferring and disposing the right of occupancy In disposing the land(just as in the Land Law No. 4 of 1999) the village council will consider the women/ wives requirement to particular land first. The council should make sure that the wife//wives have consented to the disposal first. Dispute Resolution in the village Land Act The disputes are resolved under the following institutions: - Court of appeal - High Court- Land department - District Land Council and Land tribunal. - Ward Council - Village Land Council. Village land disputes should firstly go to the village committee. The quorum for this committee is 9 members and 4 of them should be women. The quorum for committee meeting is 5 members and 2 of them should be women. 107 Roles of the committee To protect women, children and disabled people’s land right. To resolve village land disputes tabled before the committee. Village Land Council - The quorum for this council is 7 members whereby 3 of them must be women. The quorum for the meeting of this Council is 4 members whereby 2 of them must be women. Criminal Offences under the Land Acts - Providing false written or oral information on division or any other issue related to land and these Acts generally. Penalty is imprisonment for the period not exceeding 3 years or fine not exceeding Shillings One Million(Shs. 1,000,000/=) or both imprisonment and fine. 108 CHAPTER TWO What is Marriage? The law governing marriage issues in Tanzania is the Law of Marriage Act of 1971. Under this law marriage is a voluntary union between a man and a woman, which intends to be permanent for their lives. What are the basic conditions to fulfill before contracting a marriage? The union must be voluntary. Deceit, duress or undue influence makes the union not to be voluntary, hence, it becomes void. That union must be permanent. Temporary marriages are unacceptable in law. The union must be between a man and woman. Marriage between people of the same sex is void. Legally a woman is the one who was born with female genital parts. 109 The union must not be between closely related people. E.g. a person cannot marry his sister etc. Parties in the prospective marriage contract must have attained the age of majority, which is 18 years. However, parents or guardians can allow a girl below 18 years to be married but not below 15 years. Further the court if satisfied can allow a girl below 18 years to be married but not below 14 years. The court can also allow a boy below 18 years to marry but not below 16 years. There should not be a subsisting marriage between either or all parties. This means Christians cannot have more than one wife, Moslems cannot have more than 4 wives at the same time. Also a Moslem or any other person who has contracted a Civil marriage and declared it to be monogamous cannot marry again. The law recognizes three types of contracting marriage, the religious, civil and traditional methods. Presumption of marriage There is a rebutable presumption that if any man and a woman live together they will be presumed to be married. However the following conditions must be fulfilled: They must have lived together continuously for two years or more. By the time they started living together they had a capacity of being husband and wife. The surrounding public and relatives should regard them as husband and wife. with the basic needs in accordance with his ability. A wife has the same role if the husband cannot provide those needs and there is a reason to believe so. Property ownership A wife has a right to own properties acquired before or during the marriage through her personal means. She has a right to enter into contracts, to collect her debts, to sue or being sued etc. A husband enjoys the same rights. Matrimonial home No one has a right to dispose, sublet, or mortgage the matrimonial house without the consensus of the two. This is irrespective of who owns the house. Rights and Duties of a Married Woman Property acquired during the subsistence of marriage Maintenance It is obligatory for a husband to maintain his wife by providing her A wife has a right to a share of the property acquired during the subsistence of their marriage in case the marriage breaks. 110 CHAPTER THREE CHILDREN RIGHTS Who is a child? A child is any human being who is under the age of 18 years. Children are divided into two categories according to their legal status. (i) There are children who are born in a wedlock. There are those who are born when their parents have already contracted marriage or else there are some whose parents contract marriage when they have been born. Under this category such children are said to be legitimate. (ii) The second category comprises those who are born out of wedlock. Such children are said to be illegitimate. Though children in these two categories have equal needs, as human being the procedure to get maintenance is different. There is a specific law for illegitimate children called Affiliation Ordinance and the Law of Marriage Act 1971 covers children born in the wedlock. What are Children’s rights? Any child whether born in or out of the wedlock needs an appropriate care so that she/he can grow up until she/he becomes self reliant. The Consustitution of the United Republic of Tanzania states clearly that all people(including children) are equal irrespective of colour, gender, race, belief or their economic status. The International Convention on Children Rights which Tanzania has already ratified has stongly emphasized the same. Further, there is a dire need to protect children legally before or after being born. Therefore children should live with their parents unless otherwise, children should be taken 111 care of through being provided with nutritious food, health care, education and love. People responsible for this are parents or guardians and if they are not in a position to do so then it is the government, which should take this responsibility or role. the child from the father of the child. Such maintenance shall be provided only if the woman is sure of whether the man she is demanding maintenance from is the father of the child. Order of Maintenance According to the law of this land, it A woman who got pregnancy out is a criminal offence for parents to of wedlock can apply to the District deny their children proper care. The Court for order that the man give law further provides that it is a man her maintenance during the (husband or father) who is directly pregnancy and to the child after responsible for the care of his delivery. children through provision of basic needs to them. This duty has to be This application can be lodged discharged even where he is not during pregnancy or anytime within living with the children. If the father twelve months after delivery of the is not capable to do so for very child. If the man was giving obvious reasons then it is the maintenance and on the way mother who should assume that stopped, she has to apply within duty. twelve months from the day he stopped giving the maintenance. Children born out of wedlock For a man who might have been out of the country when the child Such children have also a right to was born, application can be made be taken care of and to know their within the period of twelve months fathers. So a woman who has given from the day he came back to the birth to a child out of wedlofck has country. a right to demand maintenance of 112 The court will not accept Alternatively the court can order the applications for maintenance until man to pay a lumpsum payment of it is satisfied that: Tshs. 15,000/= for maintenance of the child until she/he reaches the (a) The man who has been age of 16 years. pointed out is a true father of the child. However, even if it is(i) If the mother of such child gets proved that the man had an married to another man affair with the woman but maintenance to the child can without proof of being a be stoped. biological father, the court can(ii) If the child reaches the age of still declared him a father of the 16 years maintenance stops. child(putative father).(iii) If the court is given sufficient reasons the maintenance to (b) The woman has pointed out the child can be stoped when that man in good faith and not she/he reaches the age of 14 with an intention of defaming years. or ashaming him. If a woman refuses to take care of (c) The said father was required her children, it is a criminal offence to provide maintenance for the and upon conviction shall be fined child and has either refused Tshs. 200/= or a term of impriso or neglected or has failed to do nment not exceeding one month or so appropriately. to both such fine and imprisonment. If the father of the If the court is satisified it will declare child fails to remit the money he the man to be the father of the child. was ordered to pay by the court, The court will further order that the then the mother of the child is man pay shs. 100/= monthly as supposed to report this to the court maintenance of the child in all his/ which will compel him to pay. her needs. 113 The inadequacy of the Law: of education, health, food etc. (i) The amount of Tshs. 100/= shillings per month or the lumpsum payment of Tshs. 15,000/= is too little. (ii) The requirement that a woman must produce evidence before the court to prove that the man is responsible for her pregnancy is practically difficult to many women. (iii) To suspend the maintenance when the mother gets married affects the child especially when the mother is married to a different man who does not want to stay with the child. (iv) To suspend maintenance at the age of 16 or 14 is against the definition of a child. In most cases it is at this age when the child needs more care in terms (v) Though the law requires Magistrates to make a follow up to see whether the money provided is being properly used or the child is taken care of well, practically this is not done. Problems on the part of women (i) Many women do not know their rights. They do not know that there is a law to protect children who were born out of wedlock. (ii) Many fear to testify before the court on matters related to children hence they opt to carry the burden themselves. (iii) Promises that they will get married given by fathers of the children born out of wedlock, make women hesitate lodging applications for maintenance in court. 114 CHAPTER FOUR INHERITANCE LAWS IN TANZANIA Law of Inheritance faith, or the Indian Succession Act. The laws of Inheritance applicable in Tanzania are divided into three regimes: 1. Customary Law of Inheritance 2. Religious e.g. Islamic, Hindu etc. 3. Indian Succession Act of 1865, Application of the Laws of Inheritance 1. Customary Laws of Inheritance The Customary Laws of Inheritance are applicable to all indigenous Tanzanians who are not of Asian, European or Somali origin.. However, if it is proved that the indigenous deceased had abandoned the norms and customs of his/her tribe, the court can invoke Islamic Law, if the deceased died professing Islamic Distribution Property under Customary Law Distribution is effected accordingly to three categories The first category comprises the main heir who is the first son of the marriage. He usually gets the biggest share of the estate. In case of polygamous marriage, the 1st son of the first wife, shall be the main heir. In the second category are all other sons. They inherit more than heirs of the third category. In the third category are daughters, irrespective of age. Under Customary Law, the wife gets nothing. She depends on children to take care of her. Women are not allowed to inherit clan land. They can use the land but this right ceases when they die or remarry. 115 2. Islamic Law 3. Indian Succession Act 1865 For all other Tanzanians who are This law is aplicable to all discovered to have abandoned indigenous Tanzanians who are not their customs but converted Islamic Moslems and who have religion which also guides them in abandoned their tribal norms and all their dealings during their customs. lifetime together with all those people who are not indigenous but Intestate Inheritance under the are Muslims, these shall use Indian Succession Act. The widow Islamic law in all matters of or widower inherits 1/3 of the inheritance. property. The residual 2/3 is distributed equally to all children. Inheritance under Islamic Law If there are no children the estate is distributed as follows: Widow(s) inherit 1/8 of the estate if there are children. If there are no 1/2 is transferred to the widow children they inherit 1/4 of the or widower. estate. The remainder of the estate 1/2 is transferred to the if divided into 3 parts; 2/3 is relatives of the deceased. inherited by male heirs, 1/3 by female heirs. It should be noted that it is not easy to satisfy the court that the Under Islamic Law a person can deceased had abandoned his/her bequeath 1/3 of his property by norms and cutoms. Consequently, WILL. The remaining 2/3 must be Customary Law is always distributed according to the Islamic applicable to the indigenous, Law of Inheritance. Heirs must people. inherit it. It should be noted that, if the deceased left a will, the estate will 116 be distributed to the beneficaries in accordinance with the will. Procedure for applying for Letters of Administration 1. The death should be registered at the District Commissioner’s office where the death occurs within 30 days from the date of death. 2. The clan Council should meet in order to appoint an administrator. advertisement the appointed administrator will be granted letters of administration. 5. The administrator is supposed to pay debts if any, distribute the property to the heirs and file an inventory and accounts showing the manner in which he/she distributed the estate to the court in order to close the file. Application for letters of Administration must mention 3. The appointed administrator Amount and types of property shouldl apply for letters of left by the deceased. administration to the court by Names and addresses of heirs. attaching the following The deceased’s place of documents: domincile(this is important as the place determines where A copy of the minutes of the the matter can be filed). clan council, which appointed the administrator. Procedure of Filing a Probate The death certificate. 1. Death should be registered at 4. The Court advertises the the District Commissioner’s Probate matter for 90 days. If Office(where the death there is no caveat(objection) occurred) within 30 days. entered by virtue of the 117 2. The Executor/Executrix in filing the Probate matter in Court must have the following: The will Death Certificte. according to the will. 5. After distribution the Execution/ Executrix has to file an Inventory of the distribution to Court for the closure of the file. 3. The Court advertises the Probate matter for 90 days if there is no caveat entered then Executory/Executrix is granted a Probate. 4. The Executor/Executrix must distribute the property Important note The administrator/administrative of the Estate should not benefit in anyway from the propety for the Estate. 118 CHAPTER FIVE What is Divorce? Divorce is a power given under the law for a man to leave his wife or the wife to leave her husband. A court cannot grant a divorce if the marriage has not subsisted for at least two years unless the complainant gives very strong and convincing reasons to the court. For example, if the complaint is experiencing severe sufferings inflicted by the other party. marriage to break down irreparably are: (i) Adultery (ii) Cruelity (iii) Unnatural sex (iv) Desertion (v) Failure to fulfill family obligations (vi) Imprisonment for more that 5 years (vii) Separation (viii) Differences of political ideology or religion (ix) Permanet mental illness Though the law has given power to various institutions to officiate the marriage contracts, on divorce it is only competent courts of law that can grant it. Grounds for Divorce The reason that enables the court to grant divorce is when it is firmly convinced that the marriage has irreparably broken down. The grounds which may cause the Steps to follow for a divorce to be granted The complainant should firstly go to a marriage conciliatory board, which is legally recognized. i.e. church board, BAKWATA, (Moslems board) and/or a Social Welfare Board. If a conciliatory board fails to reconcile the parties it issues a certificate for them to go to the court. The complainant should write a petition for 119 dissolution of, the marriage attaching a copy of the marriage certificate, marriage conciliatory board certificate and any other document to substantiate and support her/his petition. The petition should show the following: That there was a legal marriage between the parties. That there is misunderstanding between the two and efforts to reconcile them have been made but failed. Mention the issues of the marriage and their age. Mention the property acquired jointly during the subsistence of the marriage. Finally pray to the court to grant the following orders; - That the marriage has irreparably broken down and divorce should be granted. - Division of the property jointly acquired during the subsistence of the marriage. - Custody of the children and their maintenance if they are of tender age. - The Respondent to suffer the costs of the suit. - Any other relief the court deems fit to grant. The final stage is for the petitioner to submit the petition to the court where it will be given a case number and the date of hearing the case. 120 CHAPTER SIX THE SEXUAL OFFENCES(SPECIAL PROVISIONS) ACT (SOSPA OF 1998) INTRODUCTION For the last decade of the 20th Century Tanzania witnessed the decline of morals and ethics in the society. This decline was particularly on the increased violation of children and women’s rights and discrimination against them. To combat this situation the government in collaboration with NGOs sent the bill to the Parliament in 1998. This bill was passed by the Parliament hence enactment of the Sexual Offences (Special Provisions) Act 1998 (herein after referred to as SOSPA). The Act has provisions that stipulating various Sexual Offences committed against women. The Act is aimed at protecting the dignity, respect, freedom and security of women and children. This Act has amended five Acts namely: Penal Code(cap 16 of the laws of Tanganyika) The Law of Evidence 1967 Children and Young Persons Ordinance- Cap 13 Minimum Sentences Act 1972 Criminal Proceedings Act 1985 1. Amendments made to the Five Laws/Acts The Law of Evidence 1967 The Law has been amended and came out with provisions in the Sexual Offences(Special Provisions) Act which provide: - That Sexual Offences cases that will be held in camera - That the evidence adduced by the child in sexual offences will be considered to be admissible if all ingredients are complete and not necessarily to be corroborated. 121 2. The Criminal proceedings Act 1988 - Sexual Offences Cases to be held in camera. - The complainant to be granted compensation when the accused is found guilty. 3. The Minimum Sentences Act 1972. The court is not bound with the provisions of this law in coming out with sentences in sexual offences case but will proceed to order sentences depending on the gravity of the offence. 4. Children and Young persons Ordinance(cap 13) When the accused is a child (i.e. is below 10 years) the case will be held in camera. 5. The Penal Code(cap 16) Sexual Offences(Special Provisions) Act has amended various provisions in this Code. These are: A. The Rape Provision Rape are committed by male person under the following circumstances: Having sexual intercourse with a woman/girl who is not his wife without her consent. Or when the consent is obtained through threats, violence. Or when the woman/girl is made(by the man) to believe that he is her husband. Or where the woman is a girl below 18 years. Rape is also committed by the followings: Any male person with authority who uses his title to make the woman/girl consent to sexual intercourse. Any male person in the management uses his position to have sexual intercourse with a girl/woman. Witch doctor who uses his position(during the medication process) to have sexual intercourse with a woman/girl. Any male religious leader who 122 uses his position to have sexual intercourse with a girl/ woman. Penalty for rape is: Life imprisonment And/or imprisonment of not less than 30 years with or without corporal punishment and fine. The accused will also be supposed to compensate the victim/complainant. B. Gang Rape Gang rape is committed when more than one male person perform sexual intercourse with a woman/girl in the circumstances mentioned under the rape offence disregarding one’s participation. C. Sexual harassment. This is when a male person through action or words harasses a woman/girl. Penalty for this is imprisonment for not less than 5 years or fine not exceeding T.Shs. 200,000/ = or both. The offender may also be ordered to compensate the victim. D. Cruelty to children. This is when a person charged with care of the child exposes the child to the danger and/or undergoes Female Genital Mutilation(FGM). Penalty for this is imprisonment of not less than 5 years and not exceeding 15 years with fine not exceeding T.Shs. 300,000/=. The accused will also be ordered to compensate the victim. E. Sexual exploitation of the children. This is committed when: Any person allows a child to stay in the areas where the child will be exposed to sexual intercourse. Any person takes children to the place where she will be exposed to sexual intercourse. Any person who seeks a “client” for purposes of having sexual intercourse with a child. Any male person who uses force and threats to get the child for the purpose of sexual intercourse. Any person who provides 123 money/gifts or other service to the parent/guardian for the purpose of obtaining the child and have sexual intercourse with her. Penalty for this offence is imprisonment for not less than 5 years but not exceeding 20 years. person undergoes sexual intercourse with a woman/girl against the natural order. Penalty for this offence is imprisonment for not les than 30 years. If the offence is committed against a child, the penalty for it is the life imprisonment. F. Attempted Rape Attempted rape this is committed when a male person undergoes all processes for committing rape but fails to fulfill it due to various circumstances. Ingredients for attempted rape are the same as those of rape except for the fact that on attempted rape the offender fails to commit the offence due to various reasons. Penalty for attempted rape is life imprisonment, or imprisonment for not less than 10 years. G. Unnatural Offences Unnatural Offence is committed when a male (i) Incest by Male Incest by male occurs when a male person commits sexual intercourse with his nearest relatives such as sister, mother, daughter, grand child etc. Penalty for this offences is imprisonment for a period not less than 30 years. (ii) Incest by Women This offence is committed when a female member have sexual intercourse with her nearest relatives e.g. brother, father, grandfather etc. Penalty for this offence is life imprisonment or imprisonment for not less than 30 years with compensation payment. 124 GLOSSARY DIVORCE: Dissolution of marriage, legal termination of a marriage and the obligations created by marriage, other than by a decree of nullity or presumption of death. SEPARATION: Voluntary agreement between husband and wife or an order by the court that a husband and wife do not have to cohabit. The order does not terminate the marriage but it does free the parties of marital obligations. PUTATIVE FATHER: A man alleged to be the father of an illegitimate child. If the court accepts the mother’s allegations, the man is declared the putative father. EXECUTOR: A person(male) appointed by will to administer the testator’s estate. EXECUTRIX: A person(famale) appointed by will to administer the testator’s estate. TESTATOR: A person who makes a will. TESTATE: Having left at one’s death, a legally valid will. 125 Hakuacha Wosia sasa hakutakua na Fedha kwa Ajili ya karo na sare ya Shule Baba amekufa hatuna kitu tena! Ona Jamani!!...iii.... 126 u ~ u :1 Funded by: ,. I Friedrich Ebert Stiftung Kawawa Road, Plot No. 397, P.O. Box 4472, Oar es Salaam, Tanzania Tel: 255~22 2668575 or 2668786 °1 I Mobile: 0741 324924,0748783153 Fax: 255~22 2668669 Email: festanzania@raha.com Publ.ished by: Women's Legal AID Centre(WLAC) SUWATABuilding, Kariakoo, Lindi Street, Adjacent/Near Uhuru Girls' Primary School P.O.Box 79212, Oar es Salaam, Tanzania Tel: 255~22~2183769,E~Mail:wlac@ intafrica.com Printed by: I f " I I: I I: F i " ' . . , . ' { . , . , .. .". I ' ' ' . . ! .. . ."." I ! " " " I ., I .'" IP InterPress(T) P.O.Box 6130 Oar es Salaam, Tanzania Tel: 255(22) 2700565/2701884 Fax: 255(22)2700565 ISBN 9987-22- 049- 5 -. .""-' -:::